Bima ya lazima kwa wageni yazalisha Sh16 bilioni Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema imekusanya Sh16.177 bilioni kwa miezi mitano kupitia malipo ya bima ya lazima ya Dola za Marekani 44 (Sh118,404) kwa kila mgeni anayeingia Zanzibar. SMZ ilianzisha sera maalumu ya kutoza wageni wanaoingia nchini,na utekelezaji wake ulianza rasmi Oktoba mosi, 2024. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi, Mei 22, 2025 na…

Read More

FCC YAPOKEA MKANDARASI RASMI KWA AJILI YA MAGEUZI YA TEHAMA

:::::::: Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imepokea rasmi mkandarasi kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa kiotomatiki utakaobadilisha mifumo ya uendeshaji wa taasisi hiyo kuwa ya kidijitali, kwa lengo la kuwa taasisi ya kisasa, yenye ufanisi na inayojibu haraka mahitaji ya wadau. Mradi huu unatekelezwa kwa msaada wa dola 600,000 kutoka kwa shirika la TradeMark…

Read More

Wadau wataka uwekezaji zaidi miradi ya umwagiliaji

Njombe. Wakati Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ikiwasilisha ombi la kuidhinishiwa bajeti ya Sh382.13 bilioni kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wadau wa sekta ya kilimo wameitaka Serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miradi ya kimkakati ya umwagiliaji. Wamesema hatua hiyo itasaidia kukuza kilimo endelevu na cha uhakika, ambacho hakitegemei tena mvua, hasa wakati huu ambapo…

Read More

Chaumma kuhama ofisi, kuteua wakurugenzi wa idara

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeendelea kufanya kufulu kila uchwao, sasa kipo kwenye mchakato wa kutafuta jengo la kisasa litakalosheheni ofisi za watendaji wote wa sekretarieti ya chama hicho ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Mbali na hilo, chama hicho ambacho kwa siku za karibuni kimekuwa sehemu ya mijadala maeneo…

Read More

Chadema katika kitendawili | Mwananchi

Dar es Salaam. Ukiacha ajenda tatu zilizowekwa wazi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inapokwenda kwenye kikao cha Kamati Kuu kesho Ijumaa, Mei 23, 2025, yapo mambo mengine magumu yatakayohitaji mijadala na uamuzi mgumu. Kikao hicho kinafanyika katikati ya misukosuko ambayo chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kinapitia, kubwa ikiwa ni utitiri…

Read More

Ulega atoa siri ya ujenzi salama

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema katika kuboresha sheria za ujenzi, wataingiza kipengere kitakachohitaji ili mtu apewe kibali cha kujenga, lazima awe na fundi sanifu mwenye cheti. Amesema taaluma hiyo inapaswa kuheshimika na kupata stahiki na heshima na si kila mtu kuona anaweza kuifanya. Akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa saba wa…

Read More

Vijana wabunifu wapigwa msasa | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuendeleza na kulinda ubunifu nchini, Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF), kwa kushirikiana na kampuni ya sheria ya NexLaw, imeendesha mafunzo maalumu kuhusu miliki bunifu kwa vijana kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania. Mafunzo hayo yaliyofanyika leo Alhamisi, Mei 22, 2025, jijini Dar es Salaam, yamelenga kuwawezesha vijana kulinda…

Read More