Fundi magari mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya Katekista Songwe
Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia fundi magari, Lameck Mwamlima (29), mkazi wa Migombani, Tunduma, kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu. Mwenda mbali na kuwa Katekista pia ni fundi ujenzi na mkazi wa mtaa wa Migombani-Tunduma Wilaya ya Momba, mkoani Songwe alifariki…