Tanroads yapangua watendaji kusuasua mradi wa BRT4
Dar es Salaam. Takriban wiki moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kutoa maagizo ya kufanyika kwa uchunguzi dhidi ya mwenendo wa ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), awamu ya nne, Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) imetangaza kufanya mabadiliko ya baadhi ya watendaji wa BRT. Mabadiliko hayo yanamhusu Mhandisi Mkazi wa Mradi…