Kamati yataka maofisa Ugani, yakumbusha Azimio la Malabo
Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda Biashara na Kilimo imeitaka Serikali kuzingatia matakwa ya utekelezaji wa Azimio la Maputo (2003) na Malabo (2014) ili kuongeza Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwani bado haitoshi. Maazimio hayo yanazitaka nchi wanachama kutenga asilimia 10 ya bajeti ya Taifa kwa ajili ya sekta ya kilimo lakini wakasema…