CBE kujenga maabara za kisasa za viwango
Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kujenga maabara za kisasa zitakazoidhinishwa na mashirika ya kimataifa ya viwango ambazo zitakuwa kitovu cha mafunzo, utafiti, na ushauri wa vipimo katika Afrika Mashariki na Kati. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga wakati akizungumza na waandishi…