TANZANIA IMEPIGA HATUA KUBWA MAPAMBANO DHIDI YA MAGONJWA YA NTDs
:::::::: Na WAF – Geneva, Uswisi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kutokomeza Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (Neglected Tropical Diseases – NTDs) ikiwemo kufanya usambazaji wa dawa aina ya ‘Mectzan’ kwa wananchi walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa matende na mabusha pamoja na usubi…