Bashe: Ni miaka minne ya mapinduzi kwenye kilimo

Dodoma. Wizara ya Kilimo imetaja mafanikio yaliyopatikana katika sekta hiyo kwa kipindi cha miaka minne iliyopita, yakichangiwa na uwekezaji wa umma, upatikanaji wa pembejeo, huduma bora za utafiti na ugani, pamoja na ongezeko la uzalishaji. Akiwasilisha bajeti ya Sh1.243 trilioni kwa mwaka wa fedha wa 2025/26 bungeni jijini Dodoma leo Jumatano, Mei 21, 2025, Waziri…

Read More

Huu hapa ujumbe wa Rungwe akipokea makada 3,000 toka Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chaumma, Hashimu Rungwe amewataka wanachama wapya 3,000 waliopokelewa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuheshimu itikadi ya chama hicho inayoamini katika demokrasia ya kijamii. Amesema wanachama hao wanapoingia kwenye mapambano ya kusaka dola, wanapaswa kujenga hoja madhubuti za kukabiliana na chama tawala cha Mapinduzi (CCM). Rungwe ambaye ni mwanasheria…

Read More

Mashambulizi Israel yaua 85 Gaza, Ulaya yailima vikwazo

Khan Younis. Mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Jeshi la Israel (IDF) yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 85 eneo la ukanda wa Gaza katika kipindi cha saa 24 zilizopita. Shirika la Habari la Associated Press limeripoti leo Jumtano Mei 21, 2025, kuwa mashambulizi hayo yamefanyika maeneo mbalimbali ukanda wa Gaza. Kwa mujibu wa Wizara ya…

Read More

Bashe: Sh1.2 trilioni zinavyokwenda kufanya mageuzi kwenye kilimo

Dodoma. Wizara ya Kilimo imewasilisha bungeni bajeti ya Sh1.243 trilioni kwa mwaka wa fedha wa 2025/26, inayolenga kuendeleza miradi iliyopo na kuanzisha mipya, ili kuimarisha uhimilivu katika sekta hiyo. Bajeti iliyopendekezwa ni pungufu kwa Sh5 bilioni, ikilinganishwa na Sh1.248 trilioni iliyopitishwa na Bunge katika mwaka wa fedha wa 2024/25. Miradi ya maendeleo imetengewa Sh1.011 trilioni,…

Read More