Watanzania Tuendelee Kumtunza Mdudu Nyuki – Global Publishers

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya mimea ya chakula inayozalishwa duniani huchavushwa na nyuki. Pia, Waziri Mkuu amezindua mpango kabambe utakaoleta mageuzi makubwa ya sekta ya ufugaji nyuki nchini, unaojulikana kama Mpango…

Read More

Tanzania, Namibia zalenga kukuza biashara, ajira

Dar es Salaam. Tanzania na Namibia zimekubaliana kukuza ushirikiano wa kibiashara baina yao ambao bado uko chini licha ya kwamba umeongezeka thamani katika miaka ya karibuni. Mbali na ushirikiano katika biashara, uhusiano huo pia utajikita katika sekta muhimu ikiwemo uchumi wa buluu ambao Namibia inafanya vizuri pamoja na sekta za gesi na mafuta. Hayo yamebainishawa…

Read More

‘Weka taa kwenye’ kwa wanawake na wasichana waliopata shida – maswala ya ulimwengu

Chombo cha afya cha uzazi cha UN, UNFPAamekuwa akifanya kazi kutathmini athari za kupunguzwa kwa kasi kwa fedha, na kuonya kwamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenda Haiti, Sudan na zaidi, ukosefu wa fedha za utunzaji wa uzazi au matibabu kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia, husababisha mateso yasiyokuwa na ukweli. Mamilioni yao tayari wanakabiliwa…

Read More

Yanayotokea ni kukiua, kukiimarisha Chadema?

Mwanza. Swali kuu linalogonga vichwa vya wengi kuanzia ndani na nje ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ni je, yanayotokea yanakiua au yanakiimarisha? Swali hilo linatokana na misukosuko inayoendelea kutokea ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Mwenyekiti wake, Tundu Lissu yuko mahabusu baada ya kushtakiwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili ambayo haina…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Viongozi wabovu sasa iwe mwisho

Mfalme Juha alikuwa bingwa wa kutatua matatizo kwa njia za mkato. Mara anapolitatua linarudi likiwa limetengeneza madhara ya tatizo (side effects) mabaya kuliko tatizo lenyewe. Lakini hakuwa na njia mbadala kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa hamnazo, halafu alikuwa ndiye kila kitu katika utawala wake. Nani mwingine angeweza kuiongoza nchi iliyoitwa “Kichaa”? Sikatai kwamba Mfalme anaweza…

Read More

Tume ya uchaguzi ifafanue utata uliopo

Kwa hali ilivyo sasa na kwa kuwa hakuna dalili zozote za mabadiliko, watu wa Zanzibar wanaelekea kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika mazingira yanayofanana kwa kiasi kikubwa na yale ya uchaguzi wa mwaka 2020. Uchaguzi huo ulidaiwa na baadhi ya vyama vya siasa na wapigakura kwamba uligubikwa na mizengwe isiyoelezeka. Hata viongozi wa…

Read More

‘Mtiti’ majimbo ya Dodoma, kwa Kibajaji watatu watajwa

Bajaji waliyosafirishiwa wananchi wa Jimbo la Mtera (Mvumi) miaka 15 iliyopita bado iko barabarani, lakini watu wanne wanatarajia kuipanda. Lengo ni kutaka kushindana nayo katika mbio za kuliwania jimbo hilo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu. Lakini inaelezwa wenye kutegua kitendawili hiki ni wajumbe ambao wamebeba maono yake, licha ya ukweli kuwa safari bado…

Read More