Mapya yaibuka wanasheria wa Kenya kuzuiwa Tanzania kumtetea Lissu

Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amesema mawakili kutoka nchini Kenya waliozuiwa kuingia nchini kumtetea Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu hawana leseni ya kufanya shughuli za uwakili Tanzania. Wakati Dk Ndumbaro akisema hayo, Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema kinachoonekana kwenye tukio hilo ni kwamba Serikali haikupewa…

Read More

CAF yampa mzuka Ouma Singida Black Stars

KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema kitendo cha kupata tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, kwao kama benchi la ufundi, viongozi na mashabiki ni jambo kubwa la kujivunia. Timu hiyo imepata tiketi ya kushiriki michuano hiyo msimu ujao baada ya Yanga kuifunga JKT Tanzania mabao…

Read More

Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu

DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi. Nyota huyo raia wa Burkina Faso, anakwenda kujiunga na Wydad baada ya kukitumikia kikosi cha Yanga kwa mafanikio makubwa katika misimu mitatu, tangu Julai 15, 2022. Kitendo cha Aziz…

Read More

WATANZANIA TUENDELEE KUMTUNZA MDUDU NYUKI

…………….. _▪️Asema lengo ni kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi imara_ _▪️Azindua mpango wa kuendeleza sekta ya ufugaji nyuki kwa Tanzania iliyo bora_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya…

Read More