Asukile atoa matumaini Tanzania Prisons
STAA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema pamoja na presha iliyopo kukwepa kushuka daraja, lakini upo uwezekano wa kubaki salama Ligi Kuu kwa timu hiyo msimu ujao. Kwa sasa timu hiyo ipo nafasi ya 13 na pointi 30, imebakiwa na mechi mbili dhidi ya Yanga, Juni 18 mwaka huu (nyumbani) kisha kumalizia msimu…