Na Oscar Assenga, TANGA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Tanga (Takukuru) imesema kwamba moja ya mafanikio ya utendaji wake kazi katika kipindi
Month: May 2025

Benki ya Absa kwa kushirikiana na klabu ya The Runners wamekabidhi msaada wa vifaa tiba katika Kituo cha Afya cha Mnazi Mmoja, hususan katika

Arusha/Moshi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka Watanzania kuendeleza mapambano ya kudai Katiba Mpya na kuondolewa kwa kasoro zote zinazofanya chaguzi zisiwe huru na

Moshi. Wanandoa Godfrey Mota (60) na Blandina Ngowi (53), wakazi wa Msufuni, Msaranga katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameuawa na mtu anayedaiwa kuwa mtoto

Dar es Salaam. Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Sivangil-wa Mwangesi amesema hali ya maadili nchini imekuwa ikiimarika kutokana na kuongezeka kwa

Unguja. Ili kukabiliana na changamoto za umasikini na ukosefu wa ajira, kilimo mseto cha mwani na ufugaji wa majongoo bahari kimebainika kuwa mojawapo ya mbinu

Shinyanga. Shirika la Madini la Taifa (Stamico) linatarajia kuwapatia vifaa vya kisasa vya uchakataji wa madini wanawake hao kupitia Chama cha Wanawake Wachimbaji Tanzania (Tawoma)

BALOZI wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi

Pemba. Licha ya wajasiriamali kisiwani hapa kupewa mafunzo ya kutengeneza bidhaa zenye ubora, wameiomba Serikali, kupitia Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS), kuanzisha maabara maalumu ya

KOCHA wa Singida Black Stars, raia wa Kenya, David Ouma amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa kuchapwa bao 1-0 na Simba, ila amewapongeza wachezaji