Mnyika: Watanzania tuendeleze kupigania Katiba Mpya

Arusha/Moshi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka Watanzania kuendeleza mapambano ya kudai Katiba Mpya na kuondolewa kwa kasoro zote zinazofanya chaguzi zisiwe huru na haki. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema hayo Leo Mei 30, 2025 wakati  akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Mbulu Mjini, katika operesheni ya chama hicho ya…

Read More

Uadilifu wa viongozi wa umma waongezeka

Dar es Salaam. Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Sivangil-wa Mwangesi amesema hali ya maadili nchini imekuwa ikiimarika kutokana na kuongezeka kwa uadilifu kwa viongozi wa umma. Jaji Mwangesi amesema hilo limepimwa kwa kuangalia uzingatiaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba 13 ya mwaka 1995 na ujazaji wa matamko…

Read More

Kilimo mseto cha mwani, majongoo bahari kuongeza pato, ajira

Unguja. Ili kukabiliana na changamoto za umasikini na ukosefu wa ajira, kilimo mseto cha mwani na ufugaji wa majongoo bahari kimebainika kuwa mojawapo ya mbinu bora za kutatua tatizo hilo. Kwa msingi huo, wakulima wanashauriwa kuwekeza na kujikita zaidi katika shughuli hizo za uzalishaji. Hayo yamebainika kufuatia mafunzo ya kilimo hicho kutolewa kwa wakulima 80…

Read More

Stamico kutoa zana za kisasa kwa wachimba madini wanawake

Shinyanga. Shirika la Madini la Taifa (Stamico) linatarajia kuwapatia vifaa vya kisasa vya uchakataji wa madini wanawake hao kupitia Chama cha Wanawake Wachimbaji Tanzania (Tawoma) Lengo la msaada huo ni kuhakikisha wanawake waliopo katika sekta ya madini wana-shiriki kikamilifu kwenye uvunaji wa rasili-mali hizo. Mkurugenzi Mtendaji wa Stamico, Dk Venance Mwasse amesema hayo Mei 29,…

Read More

BALOZI MATINYI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI USWIDI

BALOZI  wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi za ubalozi jijini Stockhom. Katika kikao hicho kilicholenga kufahamiana na kujadiliana kuhusu masuala ya Diaspora, Mhe. Balozi Matinyi alielezea tafsiri ya neno “diaspora” kwa mujibu wa Sera ya Mambo ya…

Read More

Wajasiriamali walilia maabara kupima malighafi, Serikali yakiri tatizo

Pemba. Licha ya wajasiriamali kisiwani hapa kupewa mafunzo ya kutengeneza bidhaa zenye ubora, wameiomba Serikali, kupitia Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS), kuanzisha maabara maalumu ya kupimia malighafi kabla ya kuchakatwa. Wamesema hatua hiyo itawapunguzia gharama za uzalishaji na kuwawezesha kuzalisha bidhaa zenye viwango vinavyokubalika sokoni. Mjasiriamali wa kusindika sabuni, Bimkubwa Khamis akizungumza kuhusu ukosefu wa…

Read More

Ouma azililia pointi tatu | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, raia wa Kenya, David Ouma amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa kuchapwa bao 1-0 na Simba, ila amewapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa jinsi walivyopambana, huku akililia penalti mbili za wazi. Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam,…

Read More