Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 9
Habari

TAKUKURU TANGA YABORESHA MFUMO WA HUDUMA ZA UDHIBITI TAKA NGUMU JIJINI TANGA

May 30, 2025 Admin

Na Oscar Assenga, TANGA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Tanga (Takukuru) imesema kwamba moja ya mafanikio ya utendaji wake kazi katika kipindi

Read More
Habari

ABSA NA THE RUNNERS WAKABIDHI VIFAA TIBA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA

May 30, 2025 Admin

  Benki ya Absa kwa kushirikiana na klabu ya The Runners wamekabidhi msaada wa vifaa tiba katika Kituo cha Afya cha Mnazi Mmoja, hususan katika

Read More
Habari

Mnyika: Watanzania tuendeleze kupigania Katiba Mpya

May 30, 2025 Admin

Arusha/Moshi. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka Watanzania kuendeleza mapambano ya kudai Katiba Mpya na kuondolewa kwa kasoro zote zinazofanya chaguzi zisiwe huru na

Read More
Habari

Wanandoa wauawa, Polisi yamsaka mtuhumiwa anayedaiwa kuwa mtoto wao

May 30, 2025 Admin

Moshi. Wanandoa Godfrey Mota (60) na Blandina Ngowi (53), wakazi wa Msufuni, Msaranga katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wameuawa na mtu anayedaiwa kuwa mtoto

Read More
Habari

Uadilifu wa viongozi wa umma waongezeka

May 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Sivangil-wa Mwangesi amesema hali ya maadili nchini imekuwa ikiimarika kutokana na kuongezeka kwa

Read More
Habari

Kilimo mseto cha mwani, majongoo bahari kuongeza pato, ajira

May 30, 2025 Admin

Unguja. Ili kukabiliana na changamoto za umasikini na ukosefu wa ajira, kilimo mseto cha mwani na ufugaji wa majongoo bahari kimebainika kuwa mojawapo ya mbinu

Read More
Habari

Stamico kutoa zana za kisasa kwa wachimba madini wanawake

May 30, 2025 Admin

Shinyanga. Shirika la Madini la Taifa (Stamico) linatarajia kuwapatia vifaa vya kisasa vya uchakataji wa madini wanawake hao kupitia Chama cha Wanawake Wachimbaji Tanzania (Tawoma)

Read More
Habari

BALOZI MATINYI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI USWIDI

May 30, 2025 Admin

BALOZI  wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi

Read More
Habari

Wajasiriamali walilia maabara kupima malighafi, Serikali yakiri tatizo

May 30, 2025 Admin

Pemba. Licha ya wajasiriamali kisiwani hapa kupewa mafunzo ya kutengeneza bidhaa zenye ubora, wameiomba Serikali, kupitia Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS), kuanzisha maabara maalumu ya

Read More
Michezo

Ouma azililia pointi tatu | Mwanaspoti

May 30, 2025 Admin

KOCHA wa Singida Black Stars, raia wa Kenya, David Ouma amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa kuchapwa bao 1-0 na Simba, ila amewapongeza wachezaji

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.