Kilio cha wabunge kuhusu Tanapa chasikika sasa kukusanya, kutumia fedha zake
Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka 2025/26 huku Serikali ikisema katika Sheria ya Fedha ya mwaka 2025 kutakuwa na mabadiliko yatakayowezesha mashirika mawili kukukusanya na kutumia fedha (rentetion). Mashirika hayo ni Shirika la Hifadhi la Taifa (Tanapa) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), makusanyo yao yalianza kwenda katika…