MAJALIWA: KAMILISHENI UCHUNGUZI WA WIZI WA VIFAA VYA HOSPTALI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na wizi wa vifaa hospitalini hapo ili watakaothibitika wachukuliwe hatua za kisheria. ”Watumishi mnatakiwa kuwahudumia wananchi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa na Serikali haitomvumilia yeyote atakayethibitika kuhusika na…