RAIS DKT. SAMIA KUFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO

::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa kilometa 3 na barabara zake unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 utakaofanyika tarehe 19 Juni, mwaka huu. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim…

Read More

Makocha Yanga waipa ujanja Simba

INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…

Read More

Mahakama yaamuru Lissu asizingirwe na Polisi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Kisutu imetoa maelekezo kwa askari wa Jeshi la Magereza kumuacha huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akiwa kizimbani, badala ya kumlinda kwa kumzingira, ili apate nafasi ya kufuatilia kesi yake. Pia, mahakama hiyo imebadili uamuzi wake wa awali wa kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili…

Read More

Sababu wageni kupewa maeneo ya kuchimba gesi, mafuta

Dar es Salaam. Matumizi ya gharama kubwa katika kuchimba visima vya gesi imetajwa kuwa sababu ya Serikali kunadi vitalu vyake, ili kuita wawekezaji kutoka sehemu mbalimbali. Wawekezaji hao wanapopewa maeneo hufanya shughuli zao kupitia utaratibu wa mikataba ya kugawana mapato (PSA) ambayo huingiwa kati ya Serikali, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kampuni…

Read More

BIASHARA YA MAZAO YA MISITU NA NYUKI YAPAA – MAUZO NJE YA NCHI YAONGEZEKA KWA ASILIMIA 333%

………………………… Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imebainisha mafanikio makubwa katika biashara ya mazao ya misitu na nyuki nchini, ikiwemo ongezeko la uzalishaji, viwanda na mauzo nje ya nchi, ikiwa ni matokeo ya uwekezaji wa kimkakati unaofanywa kwa kushirikiana na sekta binafsi. Akizungumza leo Mei 19, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati wa kuwasilisha makadirio ya bajeti…

Read More

MILLEN MAGESE KUANDAA MISS UNIVERSE 2025,BASATA WAMPA BARAKA

 Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA)Dk.Kedmon Mapana(katikati)akimkabidhi muongozo katika sanaa Mwanamitindo wa Kimataifa Millen Happiness Magese baada ya kumpa kibali cha kuandaa mashindano ya Miss Universe Tanzania.Aliyekaa kulia ni Miss Universe 2025 Judith Ngussa.                       :::::::::: Na Mwandishi Wetu BARAZA la Sanaa la…

Read More

MADAKTARI WANAWAKE WA KIISLAM TANZANIA WAZINDUA MFUKO WA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

Katika kuunga mkono falsafa ya UTU NA MAENDELEO inayoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Madaktari Wanawake wa Kiislam nchini wamezindua rasmi Mfuko wa Kusaidia Huduma za Afya kwa Watoto Wenye Uhitaji, unaojulikana kama Muslimah Medical Support Fund (MMSF). Mfuko huu ni mwendelezo wa juhudi za kujitolea ambazo madaktari…

Read More