Migogoro ya ardhi yatikisa mjadala bajeti ya Ardhi, watendaji wa Serikali watajwa
Unguja. Wakati Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi ikiliomba Baraza la Wawakilishi kuipitishia Sh345.4 bilioni kutekeleza vipaumbele vinane, wajumbe wameitaka Serikali iweke mipango ya kupima ardhi ili kuondosha migogoro, ambayo kwa kiasi kikubwa inasababishwa na watendaji wa Serikali. Pia, wamesema licha ya nia njema ya Serikali, wananchi wanalalamika kutolipwa fidia na wengine kulipwa kiasi…