IPTL yakwaa kisiki kesi ya kuidai Serikali mabilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya kufua umeme wa mafuta, Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imekwama kwenye kesi iliyotaka kufungua dhidi ya Serikali baada ya Mahakama Kuu kuikataa. Kampuni hiyo ilifungua kesi ya madai dhidi ya Serikali kupitia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, ikipinga mkataba wa makubaliano ya kumaliza…

Read More

Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2027

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Viwanja vitano kufanyiwa ukarabati kuelekea AFCON 2017

Serikali imethibitisha rasmi mpango wa kujenga na kukarabati viwanja mbalimbali vya michezo nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuandaa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027, pamoja na juhudi za kuendeleza sekta ya michezo nchini. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro,…

Read More

Mkutano mkuu Chaumma na sura za G55

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma),  kinafanya vikao viwili cha kamati kuu na halmashauri kuu, ambapo mbali ya kuhudhuriwa na makada wa chama hicho, wapo pia waliojiengua Chadema. Mwananchi Digital ilipofika katika eneo vinakofanyika vikao hivyo, mbali na wajumbe waliovalia sare za Chaumma, katika kikao hicho, wameshuhudiwa baadhi ya waliokuwa makamanda wa…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO AWASILI NCHINI BRAZIL

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juscelino Kubitschek Jijini Brasilia nchini Brazil ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa pili wa Brazil na Afrika kuhusu Usalama wa Chakula, Mapambano…

Read More

Gachagua awindwa na polisi, sababu yatajwa

Nairobi. Maofisa wa Jeshi la Polisi nchini Kenya wamezingira makazi ya aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kwa lengo la kumkamata kwa kile kinachotajwa kuwa ni tuhuma za kuchochea vurugu nchini humo. Hata hivyo jitihada za polisi hao hazikuzaa matunda kwani hawakufanikiwa kumkamata mwanasiasa huyo. Tovuti ya Daily Nation imeripoti jana kuwa mwishoni mwa wiki, Naibu…

Read More

Serikali yatangaza ajira mpya kada ya umma, omba hapa

Dar es Salaam. Serikali, kupitia Sekretarieti ya Kuajiri Utumishi wa Umma (PSRS), imetangaza nafasi 25 mpya za ajira za kada mbalimbali kwa Mei 2025 kupitia Ajira Portal. Nafasi hizi zinashughulikia taaluma mbalimbali kama vile utawala, udereva, ualimu, uhandisi wa baharini, sayansi ya chakula, na uchumi wa kilimo, zikitoa fursa kwa wataalamu na wahitimu kujiunga na…

Read More