Polisi walivyojitofautisha, Lissu akiletwa Kisutu

Dar es Salaam. Licha ya matarajio ya wengi kuhisi hekaheka za Jeshi la Polisi zitaongezeka mara dufu katika kuimarisha ulinzi kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambako Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Tundu Lissu ameletwa ambako kesi zake zinaunguruma, hali imekuwa ni tofauti. Jeshi hilo licha ya kuimarisha ulinzi, halitumii nguvu…

Read More

Maporomoko mgodini yalivyopoka uhai wa watu sita

Shinyanga. Kuporomoka kwa kifusi katika mgodi unaomilikiwa na kikundi cha Hapa Kazi Tu, Mwakityolo mkoani Shinyanga, kumepoka uhai wa watu sita na kuwajeruhi 17 kwa mujibu wa taarifa rasmi ya uokozi hadi leo saa 12:00 jioni. Hadi taarifa ya mwisho ya uokozi ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Shinyanga inayotolewa leo, inadaiwa watu 20…

Read More

Kesi za Lissu leo, mojawapo kusomwa maelezo yake

Dar es Salaam. Kesi mbili ikiwemo ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatatu, Mei 19, 2025 zitaunguruma katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na kesi ya kuchapisha taarifa za uongo, kesi nyingine inayomkabili kiongozi huyo ni kesi ya uhaini. Hata hivyo, leo…

Read More