Mwembe Makumbi yarejea kileleni, Mlandege ikifanya mauaji ZPL
TIMU ya Mwembe Makumbi City, imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuitandika Chipukizi bao 1-0 katika mchezo uliofanyika leo Jumapili Mei 18,2025 kwenye Uwanja wa Finya uliopo kisiwani Pemba. Mwembe Makumbi ambayo ilikaa kileleni kwa takribani miezi minne kabla ya kushushwa na Mafunzo hatimaye, imerejea katika nafasi hiyo baada ya…