:::::: Mahakama ya Tanzania imesema Shauri la Jinai Namba 8606/2025 na Namba 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, ambayo yamepangwa kutajwa na kusikilizwa Juni
Day: June 1, 2025

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amewataka Wazanzibari kutofanya makosa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa kuhakikisha wanakichagua chama hicho ili kikasimamie rasilimali zitakazowanufaisha

Nyasa-Ruvuma. Katika kuadhimisha na kuelekea kilele Cha wiki ya Mazingira Duniani ambapo kilele ni Tar 05/6 Kila mwaka Taasisi ya Chagei kwa kushirikiana na Mkurugenzi

Morogoro. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji amesema tayari Serikali imenunua pikipiki 700 ambazo zitagaiwa kwa maofisa mifugo kwenye halmashauri zote nchini, ili

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo TEHAMAvikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la Huawei lililofanyika

:::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano ya

Dar es Salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa mwenendo wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu itarushwa mubashara ‘Live’

Na Said Mwishehe MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na shujaa wa harakati za uhuru wa Tanganyika, Alhaj Mustafa Mohamed Songambele, amefariki dunia siku chache baada ya kutimiza umri

Dar es Salaam. Waswahili wana usemi usemao, damu nzito kuliko maji, ndivyo unavyoweza kuamini namna damu ya Edward Massawe ilivyohangaika hadi viungo vya mwili wake