KESI YA LISSU KURUSHWA MUBASHARA ( LIVE)

 :::::: Mahakama ya Tanzania imesema Shauri la Jinai Namba 8606/2025 na Namba 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, ambayo yamepangwa kutajwa na kusikilizwa Juni 2, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mwenendo wote utarushwa mubashara (live) na pia Mshtakiwa atafikishwa Mahakamani Taarifa ya Mahakama imeeleza, lengo ni kuwawezesha Wananchi kufuatilia bila kuwa na…

Read More

Othman: Wazanzibari msifanye makosa Oktoba, chagueni  ACT-Wazalendo ikasimamie rasilimali

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amewataka Wazanzibari kutofanya makosa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa kuhakikisha wanakichagua chama hicho ili kikasimamie rasilimali zitakazowanufaisha watu wote. Masoud ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema licha ya kisiwa hicho kubarikiwa rasilimali za kutosha bado baadhi ya wananchi wanakabiliwa na umaskini, hata wale…

Read More

WANAFUNZI NA WAKUFUNZI WAIBUKA WASHINDI WA TEHAMA

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo TEHAMAvikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la Huawei lililofanyika jijini Shenzhen China, likishirikisha washindani 210,000 kutoka mataifa mbalimbali duniani. Wanafunzi hao ni kutoka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), na Chuo…

Read More

MAJALIWA ASHUHUDIA TUZO ZA WANAMICHEZO KIMATAIFA

  :::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano ya kimataifa zinazoandaliwa na Baraza la Michezo Taifa. Lengo la tuzo hizo ni kuwaenzi na kuwatambua watanzania wanaiowakilisha nchi katika michezo mbalimbali duniani na kuiletea sifa Tanzania kwa maslahi yao na…

Read More

Mapya kesi za Lissu, Mahakama yatoa utaratibu zitakavyosikilizwa

Dar es Salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa mwenendo wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu itarushwa mubashara ‘Live’ kupitia chaneli ya Mahakama hiyo. Lissu alikamatwa mkoani Ruvuma mwezi uliopita na kushtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, katika kesi mbili tofauti ya  uhaini, mashitaka…

Read More