Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 1, 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • 1
Habari

KESI YA LISSU KURUSHWA MUBASHARA ( LIVE)

June 1, 2025 Admin

 :::::: Mahakama ya Tanzania imesema Shauri la Jinai Namba 8606/2025 na Namba 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, ambayo yamepangwa kutajwa na kusikilizwa Juni

Read More
Habari

Othman: Wazanzibari msifanye makosa Oktoba, chagueni  ACT-Wazalendo ikasimamie rasilimali

June 1, 2025 Admin

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud amewataka Wazanzibari kutofanya makosa katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa kuhakikisha wanakichagua chama hicho ili kikasimamie rasilimali zitakazowanufaisha

Read More
Habari

TAASISI YA CHAGEI MKOANI RUVUMA YAFANYA USAFI WA FUKWE YA ZIWA NYASA -MBAMBA-BAY

June 1, 2025 Admin

Nyasa-Ruvuma. Katika kuadhimisha na kuelekea kilele Cha wiki ya Mazingira Duniani ambapo kilele ni Tar 05/6 Kila mwaka Taasisi ya Chagei kwa kushirikiana na Mkurugenzi

Read More
Habari

Serikali yanunua pikipiki 700 kwa ajili ya maofisa mifugo

June 1, 2025 Admin

Morogoro. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji amesema tayari Serikali imenunua pikipiki 700 ambazo zitagaiwa kwa maofisa mifugo kwenye halmashauri zote nchini, ili

Read More
Habari

WANAFUNZI NA WAKUFUNZI WAIBUKA WASHINDI WA TEHAMA

June 1, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI na wakufunzi wa vyuo TEHAMAvikuu kutoka Tanzania wameibuka washindi katika shindano la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) la Huawei lililofanyika

Read More
Habari

MAJALIWA ASHUHUDIA TUZO ZA WANAMICHEZO KIMATAIFA

June 1, 2025 Admin

  :::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri katika mashindano ya

Read More
Habari

Mapya kesi za Lissu, Mahakama yatoa utaratibu zitakavyosikilizwa

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa mwenendo wa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu itarushwa mubashara ‘Live’

Read More
Habari

MAELFU DAR WAPAGAWA NA TAMASHA LA NYAMA CHOMA SOKO LA KUMBILAMOTO

June 1, 2025 Admin

Na Said Mwishehe MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika tamasha la nyama choma ambalo limefanyika katika soko la

Read More
Habari

Mkongwe wa siasa, rafiki wa Nyerere afariki dunia akiwa na umri wa miaka 100

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na shujaa wa harakati za uhuru wa Tanganyika, Alhaj Mustafa Mohamed Songambele, amefariki dunia siku chache baada ya kutimiza umri

Read More
Habari

Damu nzito kuliko maji, viungo vya binadamu vilivyogundulika baada ya choo kuziba

June 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Waswahili wana usemi usemao, damu nzito kuliko maji, ndivyo unavyoweza kuamini namna damu ya Edward Massawe ilivyohangaika hadi viungo vya mwili wake

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.