Zaidi ya watu 30 waliuawa na zaidi ya 100 walijeruhiwa wakati wakingojea asubuhi ya mapema kupata chakula kutoka kwa tovuti mbili huko Rafah na Gaza
Day: June 2, 2025

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC, leo tarehe 02 Juni, 2025 limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda lao

Kulingana na UN, familia nyingi za mbele za Kiukreni ziko katika hatari ya kukosa upandaji muhimu na madirisha ya kuvuna. “Kilimo ni kitambaa cha jamii

Hai. Mamia ya wananchi wakiwamo wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika Uduru Makoa, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameandamana leo Jumatatu Juni 2, 2025

Na Mwandishi Wetu,Songea KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. Samia Suluhu

Serengeti. Baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari wilayani Serengeti wameiomba Serikali na jamii kuwaondolea vikwazo vinavyosababisha washindwe kutimiza malengo yao hasa ya

Dar es Salaam. Upande wa mashtaka katika kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mitandaoni inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, umewasilisha

:::::::: Makandarasi wazawa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuomba tenda mbalimbali za utekelezaji wa miradi ya uboreshaji miundombinu ya Miji ya Tanzania (TACTIC) ili kuweza kunufaika

Iringa. Mfanyabiashara na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Salim Faraj Abri (Asas) apokewa rasmi na uongozi wa chama Mkoa wa Iringa kufuatia kuteuliwa kwake