Watumiaji wa petroli, dizeli kicheko Dar

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za  mafuta zitakazoanza kutumika kuanzia leo ambapo mkoa wa Dar es Salaam imeshuka na Mtwara ikipaa zaidi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ewura leo Jumatano Juni 4, 2025 bei hizo zimezingatia mabadiliko ya bei katika soko la dunia,…

Read More

BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA MZEE MONGELLA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akisaini kitabu cha maombolezo na kumpatia pole, Mama Gertrude Ibengwe Mongella, familia yake na waombolezaji wengine, kwa msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, ambaye ni mwenza wa Mama Mongella, leo Jumanne, tarehe 3 Juni 2025, eneo la Makongo juu, jijini Dar Es…

Read More

Mkuu wa Haki za UN analaani mauaji mapya karibu na kitovu cha misaada ya kibinafsi – maswala ya ulimwengu

“Mashambulio yaliyoelekezwa dhidi ya raia hufanya ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa vita“Kamishna mkuu alisema katika taarifa yake, iliyotolewa baada ya Wapalestina kuripotiwa kuuawa kutafuta msaada kwa siku ya tatu inayoendelea. Bwana Türk pia aliwasihi Israeli kuheshimu “maagizo ya kumfunga” yaliyotolewa na Korti ya Haki ya KimataifaKushirikiana kikamilifu na UN na kuhakikisha…

Read More

VYANZO VYA MAPATO JUMUISHI NA SHIRIKISHI KUVUTIA WAWEKEZAJI: Bw. Nnko

Mratibu Mkuu wa Malengo ya Maendeleo Endelevu – Fedha na Uwekezaji wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Emmanuel Nnko ametoa wito kwa halmashauri nchini kubainisha vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitakuwa shirikishi na jumuishi vitakavyo wavutia wawekezaji katika halmashauri nchini ili kuondokana na utegemezi wa bajeti kutoka serikali kuu. “Tumeendelea kushirikiana…

Read More

BARRICK YAWEZESHA MAFUNZO YA MAWAKILI WA SERIKALI

Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia Kampuni ya Twiga Minerals imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kufanikisha mifumo ya sheria na utawala bora nchini. Katika kufanikisha ajenda hiyo, Kampuni ya Barrick imekuwa mmoja wa wadhamini wa mafunzo kwa Mawakili wa serikali inayoendelea jijini Arusha ambapo imetunukiwa cheti cha…

Read More

Kigaila ataja sababu tatu Chaumma kushiriki uchaguzi

Mwanza. Naibu Katibu Mkuu wa Chaumma, Benson Kigaila ametaja sababu tatu za chama hicho kuamua kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu, ikiwamo kukikabili Chama cha Mapinduzi (CCM). Akihutubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza leo Jumanne Juni 3, 2025, Kigaila ametaja sababu ya kwanza kuwa ni kushinda uchaguzi na kuongoza Serikali, akisema…

Read More

RAIS MSTAAFU JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA UJENZI WA TAASISI HIMILIVU YA UBIA WA ELIMU DUNIANI (GPE)

Pembezoni mwa Mkutano huo wa Bodi, Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipata pia fursa ya kukutana na kufanya kikao na Waziri anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa na Nchi zinazozungumza Kifaransa Thani Mohamed-Soilihi ambapo pamoja na mambo mengine walijadili namna ya kukuza zaidi ushirikiano kati ya Taasisi ya GPE na Ufaransa. Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho…

Read More