Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika kuanzia leo ambapo mkoa wa
Day: June 3, 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akisaini kitabu cha maombolezo na kumpatia pole, Mama Gertrude Ibengwe Mongella, familia yake

“Mashambulio yaliyoelekezwa dhidi ya raia hufanya ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa vita“Kamishna mkuu alisema katika taarifa yake, iliyotolewa baada ya Wapalestina

Mratibu Mkuu wa Malengo ya Maendeleo Endelevu – Fedha na Uwekezaji wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Emmanuel Nnko ametoa wito

Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia Kampuni ya Twiga Minerals imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kufanikisha mifumo

WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kuimarisha misingi ya utawala bora kwa watumishi wake kwa kutoa mafunzo ya mara kwa mara yanayolenga kuongeza

Na WMJJWM, Ikungi – Singida Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju ameitaka jamii kushirikiana kwa

Mwanza. Naibu Katibu Mkuu wa Chaumma, Benson Kigaila ametaja sababu tatu za chama hicho kuamua kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu, ikiwamo kukikabili Chama cha

Moshi. Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro likimsaka kijana anayedaiwa kuhusika na mauaji ya wazazi wake (jina linahifadhiwa), familia imeamua kuzika miili hiyo kesho

RAIS MSTAAFU JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA UJENZI WA TAASISI HIMILIVU YA UBIA WA ELIMU DUNIANI (GPE)
Pembezoni mwa Mkutano huo wa Bodi, Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipata pia fursa ya kukutana na kufanya kikao na Waziri anayeshughulikia Ubia wa