TAASISI YA AGENDA YAPAZA SAUTI KUPINGA UCHAFUZI WA MAZINGIRA TAKA ZA PLASTIKI

   Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2025, Shirika lisilo la Kiserikali Agenda for Environment and Responsible Development limeitaka jamii kuongeza juhudi za kupunguza matumizi ya Plastiki nchini. Akizungumza leo Juni 4, 2025 katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, Katibu Mtendaji wa AGENDA Bi. Dorah Swai, amesema kuwa  jamii ina wajibu…

Read More

WAZIRI MCHENGERWA AWAFUNDA WALIMU

:::::: Na John Mapepele  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi.  Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau wa elimu wa Wilaya ya Rufiji uliofanyika kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari ya…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AWAKUMBUSHA MAWAKILI WA SERIKALI WAJIBU WAO WAKATI WA MAJADILIANO YA MIKATABA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewakumbusha Mawakili wa Serikali juu ya wajibu wao na masuala muhimu yanayohusu majadiliano ya mikataba mbalimbali ambayo Serikali au Taasisi inakusudia kuingia au ina maslahi nayo. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 4 Juni, 2025 wakati akiwasilisha mada kuhusu mbinu za kufanya Majadiliano ya Mikataba na…

Read More

WANAUSHIRIKA WATAKIWA KUENDESHA USHIRIKA KWA TIJA

AFISA Ushirika Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania TCDC Bw.Justin Mogendi,akiwasilisha mada wakati wa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 yaliyofanyika leo Juni 4,2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara. Na.Alex Sonna-HYDOM TUME…

Read More