
June 5, 2025


Kiongozi mpya wa Civicus anaongea juu ya kupungua kwa ulimwengu katika uhuru wa raia – maswala ya ulimwengu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Civicus Global Mandeep Tiwana akizungumza katika Mkutano wa kiwango cha juu cha SDG 16 Mei 2024. Mkopo: Mandeep Tiwana/Civicus Global Alliance na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa / New York) Alhamisi, Juni 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa / New York, Jun 05 (IPS) – Mnamo…
MWENGE WA UHURU KUZINDUA KUWEKA MAWE YA MSINGI MIRADI 11 YA MAJI MKOANI TANGA YENYE THAMANI YA BILIONI 16.7
Na Oscar Assenga, TANGA JUMLA ya Miradi 11 katika Sekta ya Maji yenye thamani ya Sh.Bilioni 16,713,383,870 inatarajiwa kuzinduliwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 mkoani Tanga ambao unatarajiwa kuwasili mkoani hapa kesho na kuzunguka maeneo mbalimbali kwenye mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo…

MAMLAKA YA HALI YA HEWA DUNIANI KUENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA TANZANIA KUKABILIANA NA MAAFA
Na. MWANDISHI WETU – GENEVA USWIZI Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Duniani (World Meteorological Organization – WMO) Bi. Celeste Saulo ameahidi kushirikiana na Tanzania katika kuimarisha mfumo wa Tahadhari ya mapema (early warning systems) kwa ajili ya kuchukua hatua za haraka kuzuia na kukabiliana na maafa pindi yanapotokea. Ameyasema hayo wakati wa…

𝑻𝑭𝑺 𝒀𝒂𝒕𝒖𝒏𝒖𝒌𝒊𝒘𝒂 𝑻𝒖𝒛𝒐 𝒚𝒂 𝑲𝒂𝒎𝒑𝒆𝒏𝒊 𝑩𝒐𝒓𝒂 𝒚𝒂 𝑼𝒑𝒂𝒏𝒅𝒂𝒋𝒊 𝑴𝒊𝒕𝒊 𝑵𝒄𝒉𝒊𝒏𝒊
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umetunukiwa Tuzo ya Kampeni Bora ya Upandaji Miti kwa mwaka 2025, kutokana na mchango wake mkubwa katika kuhamasisha wananchi na taasisi mbalimbali kushiriki upandaji miti, kusambaza miche na kuelimisha umma kuhusu utunzaji wa mazingira. Tuzo hiyo ilitolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…

Prof. Kitila Mkumbo Kufungua Wiki ya Utafiti na Ubunifu UDSM
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinatarajia kufanya maadhimisho ya Wiki ya 10 ya Utafiti na Ubunifu (RIW)kuanzia Juni 9 hadi Juni 11 mwaka huu katika Viwanja vya Maktaba Mpya,Kampasi ya Mwalimu Julius Nyerere Mlimani. Akizungumza leo Juni 5,2025 jijini Dar es Salaam Naibu Makamu wa Chuo-Utafiti katika Chuo…

MAFUNZO YA USHIRIKA YALETA MWAMKO KWA WANAUSHIRIKA WA GIDESHA AMCOS
MWENYEKITI wa GIDESHA AMCOS, Bw. Hipoliti Umbu,akitoa Pongezi kwa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) baada ya kupatiwa mafunzo kwa wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi Kwa awamu ya pili mwaka 2024/2025 katika Kijiji Cha Simhha Halmshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara. Na.Alex Sonna-HAYDOM Mwenyekiti…

TBS YASISITIZA UMUHIMU WA VIWANGO KATIKA MAONESHO YA BIASHARA TANGA
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi na wajasiriamali katika Maonesho ya 12 ya Biashara na Utalii yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mwahako City Garden, mkoani Tanga. Akizungumza katika maonesho hayo, Afisa Udhibiti Ubora wa TBS, Bw. Abdul Ngozoma, ametoa wito kwa wajasiriamali kujitokeza kwa wingi kuthibitisha ubora wa…

DKT NCHEMBA ATAJA SABABU ZINAZOSABABISHA WATANZANIA KUINGIA KWENYE MIKOPO UMIZA/ KAUSHA DAMU
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba amesema moja ya sababu zinazosababisha Watanzania wengi kuingia kwenye mikopo umiza pamoja na kausha damu ni kutokuwa na tabia ya kukopa fedha katika mifumo iliyo rasmi. Dkt Nchemba ameyasema hayo leo jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa mfumo wa kushughulikia malalamiko ya watumiaji wa…

Kwa nini Benki ya Dunia inapaswa kuongeza marufuku yake ya zamani juu ya nishati ya nyuklia – maswala ya ulimwengu
Maoni na Todd moss (Washington DC) Alhamisi, Juni 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Todd Moss ni mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa Nishati kwa Ukuaji Hub. WASHINGTON DC, Jun 05 (IPS) – Mnamo Juni 10, bodi ya Benki ya Dunia itakutana ili kufikiria kuondoa marufuku ya zamani ya nishati ya nyuklia – ambayo imebaki…