BALOZI NCHIMBI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA MZEE MONGELLA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameongoza mamia ya waombolezaji, katika utoaji wa heshima za mwisho na hatimae mazishi ya Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, mwenza wa mmoja wa viongozi waandamizi wastaafu nchini, Bi. Getrude Mongella, leo Jumamosi tarehe 7 Juni 2025, katika Kijiji cha Kabusungu, Ilemela, mkoani Mwanza….

Read More

Vijiji vitatu vyajikomboa kero ya maji

Simiyu. Wananchi wa Kata ya Mwamashimba wilayani Maswa mkoani Simiyu, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji baada ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) kuwajengea tangi lenye ujazo wa lita 200,000 na vituo 16 vya kuchotea maji. Wananchi hao walikuwa wakitembea umbali wa kilomita 10 kutafuta maji,…

Read More

Sakata la Lema, Uhamiaji lawaibua wanasheria, wanasiasa

Moshi. Hatua ya Idara ya Uhamiaji kumzuia Godbless Lema kusafiri kwenda nje ya nchi, imewaibua wanasheria wakitaka vyombo vya dola kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba na sheria, bila kuacha maswali yasiyo na majibu wala kuchafua taswira ya nchi kitaifa na kimataifa. Uhamiaji juzi ilimzuia Lema, kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na…

Read More

Serikali yatia neno matumizi ya akili mnemba sekta ya fedha

Dar es Salaam. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayeshughulikia Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha, Sauda Msemo amesema kutokana na kasi ya ukuaji wa teknolojia za fedha, Serikali inahakikisha matumizi yake yanakuza uchumi na kuiweka nchi katika hali salama. Amesema tayari Serikali imezindua mfumo wa kufanyia majaribio teknolojia za kifedha kabla…

Read More

Muhas yaja na mradi usambazaji wa bidhaa za afya

Dodoma. Jumla ya Sh2.5 bilioni kutumika kwa ajili ya kujenga uwezo katika mnyororo wa usambazaji wa bidhaa za afya utakaofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas). Lengo la mradi huo ni kutatua changamoto zinazotokana na majanga duniani zinazofanana ugonjwa wa Uviko-19 ambapo baadhi ya nchi zilifungia watu (lockdown). Mradi huo wa…

Read More