Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 11, 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • 11
Habari

Vyakula yenye virutubishi lishe kuukabili udumavu Simiyu

June 11, 2025 Admin

Simiyu. Jamii katika Mkoa wa Simiyu imeshauriwa kuondoa mitazamo potofu kuhusu matumizi ya vyakula na mafuta yenye virutubishi vilivyoongezwa, ili kukabiliana na changamoto za lishe

Read More
Habari

Wakulima wa mwani kujifunza mbinu mpya Ufilipino

June 11, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati mauzo ya zao la mwani nje ya Tanzania yakipanda na kushuka, wakulima kutoka Tanga, Kilwa na Zanzibar wamepelekwa nchini Ufilipino kujifunza

Read More
Habari

SERIKALI KUNUNUA MBOLEA NA KUWAGAWIA WAKULIMA

June 11, 2025 Admin

………….. Na Ester Maile Dodoma  Dola milioni Mia moja na themanini za wekezwa katika kiwanda cha uzalishaji mbolea kilichopo Nala jijini Dodoma.  Hayo yameelezwa leo

Read More
Habari

Rais Samia kufanya ziara mikoani, Msumbiji na Comoro

June 11, 2025 Admin

Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mikoa ya Simiyu na Mwanza pamoja na nchi za Msumbiji

Read More
Habari

Chaumma yakazia sera ya kuwaongoza walioshiba

June 11, 2025 Admin

Tabora. Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimesema kikiingia madarakani kitaboresha sera ya kilimo ili wananchi wafanye shughuli hizo kwa tija na wapate chakula cha

Read More
Habari

Polisi yaomba radhi kwa kudanganya taarifa za kifo cha mwanablogu

June 11, 2025 Admin

Nairobi. Mkuu wa Polisi nchini Kenya (IGP), Douglas Kanja amewaomba radhi wananchi wa Kenya kwa taarifa ya uongo iliyotolewa na Idara ya Kitalfa ya Polisi

Read More
Habari

WATENDAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KATIKA MAJUKUMU YAO

June 11, 2025 Admin

…….,.,. MWENYEKITI Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kanda ya Iringa, Moses Ambindwile, amewataka wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata kufanya kazi kwa kuzingatia sheria,

Read More
Habari

UDSM Yatakiwa Kupanua Wigo wa Wiki ya Utafiti na Ubunifu

June 11, 2025 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimetakiwa kuendelea kupanua wigo wa Wiki ya Utafiti na Ubunifu kwa kushirikisha washirika

Read More
Michezo

Fundi wa danadana Hadhara afariki, azikwa usiku huu

June 11, 2025 Admin

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam.

Read More
Habari

Simulizi jinamizi la ajali kwa maeneo haya Mbeya

June 11, 2025 Admin

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.