Vyakula yenye virutubishi lishe kuukabili udumavu Simiyu

Simiyu. Jamii katika Mkoa wa Simiyu imeshauriwa kuondoa mitazamo potofu kuhusu matumizi ya vyakula na mafuta yenye virutubishi vilivyoongezwa, ili kukabiliana na changamoto za lishe duni. Ushauri huo umetolewa kutokana na ongezeko kubwa la watoto wenye udumavu mkoani humo. Pia, wataalamu wa lishe wamesisitiza kuwa matumizi ya vyakula vilivyoimarishwa kwa virutubishi kama vile vitamini na…

Read More

Wakulima wa mwani kujifunza mbinu mpya Ufilipino

Dar es Salaam. Wakati mauzo ya zao la mwani nje ya Tanzania yakipanda na kushuka, wakulima kutoka Tanga, Kilwa na Zanzibar wamepelekwa nchini Ufilipino kujifunza namna ya kuongeza uzalishaji na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika shughuli zao za kila siku. Takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) za hali ya uchumi kila mwezi zinaonyesha…

Read More

SERIKALI KUNUNUA MBOLEA NA KUWAGAWIA WAKULIMA

………….. Na Ester Maile Dodoma  Dola milioni Mia moja na themanini za wekezwa katika kiwanda cha uzalishaji mbolea kilichopo Nala jijini Dodoma.  Hayo yameelezwa leo 11 June 2025 na Waziri wa Kilimo Husein Bashe wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari akitoa taarifa kwa umma juu ya siku ya uzindunzi wa kiwanda cha uzalishaji…

Read More

Rais Samia kufanya ziara mikoani, Msumbiji na Comoro

Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mikoa ya Simiyu na Mwanza pamoja na nchi za Msumbiji na Comoro. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 11, 2025, Msigwa amesema akiwa mikoa hiyo, Rais Samia atatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi. Amesema Juni…

Read More

Chaumma yakazia sera ya kuwaongoza walioshiba

Tabora. Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimesema kikiingia madarakani kitaboresha sera ya kilimo ili wananchi wafanye shughuli hizo kwa tija na wapate chakula cha kutosheleza milo mitatu kwa siku. Hatua hiyo inakwenda Sambamba na sera ya ubwabwa ya chama hicho ya kuwa na Taifa lenye watu walioshiba ambao wataweza kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Mwenyekiti…

Read More

WATENDAJI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KATIKA MAJUKUMU YAO

…….,.,. MWENYEKITI Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kanda ya Iringa, Moses Ambindwile, amewataka wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu na mipaka ya madaraka yao ili kuepuka migogoro ya kisheria inayoweza kuathiri nafasi zao za uongozi katika jamii wanayoongoza. Akizungumza katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi hao yaliyoandaliwa kwa…

Read More

Fundi wa danadana Hadhara afariki, azikwa usiku huu

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam. Hadhara aliyejizolea umaarufu mkubwa enzi za uhai wake kwa kipaji cha kuuchezea mpira atakavyo, amekutwa amefariki dunia ndani akiwa peke yake. Mdogo wa Hadhara aliyejitambulisha kwa jina la Mama Raiyan…

Read More

Simulizi jinamizi la ajali kwa maeneo haya Mbeya

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota maiti za ajali mara kwa mara, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua. Wamesema eneo hilo limekuwa hatari kwa ajali za mara kwa mara zinazohusisha pikipiki, bajaji, hiace na magari ya abiria…

Read More