Simiyu. Jamii katika Mkoa wa Simiyu imeshauriwa kuondoa mitazamo potofu kuhusu matumizi ya vyakula na mafuta yenye virutubishi vilivyoongezwa, ili kukabiliana na changamoto za lishe
Day: June 11, 2025

Dar es Salaam. Wakati mauzo ya zao la mwani nje ya Tanzania yakipanda na kushuka, wakulima kutoka Tanga, Kilwa na Zanzibar wamepelekwa nchini Ufilipino kujifunza

………….. Na Ester Maile Dodoma Dola milioni Mia moja na themanini za wekezwa katika kiwanda cha uzalishaji mbolea kilichopo Nala jijini Dodoma. Hayo yameelezwa leo

Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mikoa ya Simiyu na Mwanza pamoja na nchi za Msumbiji

Tabora. Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimesema kikiingia madarakani kitaboresha sera ya kilimo ili wananchi wafanye shughuli hizo kwa tija na wapate chakula cha

Nairobi. Mkuu wa Polisi nchini Kenya (IGP), Douglas Kanja amewaomba radhi wananchi wa Kenya kwa taarifa ya uongo iliyotolewa na Idara ya Kitalfa ya Polisi

…….,.,. MWENYEKITI Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kanda ya Iringa, Moses Ambindwile, amewataka wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata kufanya kazi kwa kuzingatia sheria,

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimetakiwa kuendelea kupanua wigo wa Wiki ya Utafiti na Ubunifu kwa kushirikisha washirika

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam.

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota