WAHITIMU UDSM WATAKIWA KUTHIBITISHA UWEZO KWA VITENDO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametakiwa kuthibitisha kwa vitendo uwezo wao walioupata chuoni kwa kutumia maarifa hayo kuleta mabadiliko chanya katika jamii na taifa kwa ujumla. Wito huo umetolewa leo Juni 13, 2025 katika Mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yaliyofanyika kwenye…

Read More

Sungusungu Shinyanga waja na kanuni 33 kudhibiti uhalifu

Shinyanga. Jeshi la Jadi Sungusungu Wilaya ya Shinyanga limeweka kanuni 33 zitakazotumika kudhibiti uhalifu kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku watoto kucheza michezo ya kamali kwa sababu ni chanzo cha wizi. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Sungusungu Wilaya ya Shinyanga, Daudi Ludelengeja leo Juni 13, 2025 wakati wa maadhimisho ya miaka 43…

Read More

Wabunge walia na utajiri kwa wageni, umasikini kwa wazawa

Dodoma. Wakati pato halisi la Taifa lilifikia Sh156.6 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh148.5 trilioni mwaka uliotangulia, wabunge wameonyesha hofu juu ya hali ya kukua kwa uchumi wa Tanzania huku ukuaji huo ukiwa hauakisi moja kwa moja pato la Mtanzania mmoja. Katika mdahalo wa uchambuzi wa bajeti kwa wabunge uliowakutanisha wabunge na wataalam wa mipango leo…

Read More

Bajeti ilivyotumika kupoza mjadala wa usalama nchini

Dar es Salaam. Mjadala unaoendelea kuhusu matishio ya kiusalama yakiwemo matukio ya ama watu kutekwa au kuuawa ambayo yamezua wasiwasi nchini, umemlazimu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutumia hotuba ya Bajeti bungeni kuzungumzia hali hiyo kwa kina, akitoa hakikisho la vyombo vya dola kutuliza hali hiyo. Akiangazia hali ya ulinzi na usalama nchini, Dk Mwigulu…

Read More