𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗔𝗡𝗢 𝗟𝗔 𝗦𝗧𝗔𝗗𝗜 𝗭𝗔 𝗨𝗙𝗨𝗡𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗨𝗧𝗘𝗞𝗘𝗟𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔 𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢𝗕𝗢𝗥𝗘𝗦𝗛𝗪𝗔 – 𝗗𝗞𝗧. 𝗞𝗢𝗠𝗕𝗔

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, amesema miongoni mwa maboresho yaliyofanyika katika mitaala ya mwaka 2023 ni pamoja na kuchopeka matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji. Dkt. Komba ameeleza hayo Juni 14, 2025 jijini Dar es Salaam akizungumza katika Hafla ya Utoaji wa Zawadi kwa Washindi wa Shindano la…

Read More

𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗡𝗔𝗧𝗛𝗔𝗠𝗜𝗡𝗜 𝗠𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗠𝗨

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali inatambua mchango mkubwa wa Walimu katika elimu na malezi ya watoto katika nyanja mbalimbali za maisha. Waziri Mkenda amesema hayo Juni 14, 2025 jijini Dar es Salaam katika Hafla ya Utoaji wa Zawadi kwa Washindi wa Shindano la Tatu la Stadi za Ufundishaji kwa…

Read More

Matibabu ya saratani yazidi kuwa mzigo, Bugando yasaka Sh1 bilioni kusaidia wagonjwa

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imesema kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa saratani wanaohitaji matibabu lakini wanashindwa kumudu gharama. Hali hiyo imeweka hospitali katika mazingira ya kutoa misamaha mara kwa mara kwa wagonjwa hao, ili kuhakikisha wanapata huduma stahiki. Katika jitihada za kutafuta suluhisho la kudumu la changamoto hiyo, Hospitali ya Bugando imeanzisha…

Read More

Maeneo ya kipaumbele ya programu ya kizazi chenye usawa yatajwa

Dodoma. Wakati Programu ya Kizazi chenye Usawa (GEF), ikiendelea kutekelezwa nchini, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Malumu  imetaja maeneo manne yaliyopewa kipaumbele ikiwamo kazi zenye staha kwa wanawake katika sekta isiyo rasmi. Maeneo mengine ni uwezeshaji wa kijinsia kwenye sekta binafsi, upatikanaji wa rasilimali za uzalishaji kwa wanawake na ubunifu na…

Read More

WMA YAFIKIA ASILIMIA 96 UTEKELEZAJI MPANGO KAZI WA MWAKA

Kibaha, Pwani Wakala wa Vipimo (WMA) umetekeleza Mpango Kazi wake wa Mwaka wa Fedha 2024/2025 kwa asilimia 96 ya malengo iliyojiwekea, kufikia mwezi Mei mwaka huu. Hayo yalibainishwa Juni 13, 2025 na Mtaalamu wa Uchumi kutoka Kitengo cha Mipango cha WMA, Benjamin Nkwera wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa kipindi husika…

Read More