
π¦πππ‘πππ‘π’ ππ π¦π§πππ ππ π¨ππ¨π‘πππ¦ππππ ππ¨ππ ππ₯ππ¦ππ π¨π§πππππππππ πͺπ π ππ§ππππ ππππ¬π’ππ’π₯ππ¦ππͺπ – πππ§. ππ’π ππ
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, amesema miongoni mwa maboresho yaliyofanyika katika mitaala ya mwaka 2023 ni pamoja na kuchopeka matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji. Dkt. Komba ameeleza hayo Juni 14, 2025 jijini Dar es Salaam akizungumza katika Hafla ya Utoaji wa Zawadi kwa Washindi wa Shindano la…