
Wizara ya Mifugo Kutoa Kiwanja kwa Chama cha Wafugaji Tanzania
Na Diana Byera – Simiyu Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetangaza mpango wa kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT), hatua inayolenga kurahisisha na kuboresha uratibu wa shughuli za wafugaji nchini. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji, alitoa kauli hiyo mbele ya maelfu ya…