Chie Sunada wa SGI (kushoto) anasimamia majadiliano ya jopo la kwanza, “kutoka kwa kizuizi hadi silaha: njia ya mbele”. Mikopo: SGI Maoni na Katsuhiro Asagiri
Day: June 19, 2025

Usemi wa ombeni nanyi mtapewa, umedhihirisha usikivu wa Rais Samia Suluhu Hassan kupunguza gharama za lesini kwa maafisa usafirisha wa bodaboda, bajaji na guta zinazotumia

Mkuu wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amesema Ilani ya Chama Cha Mapinduzi imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 100 kwa kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo

Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini, Mhandisi Lorivii Long’idu,akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wasambazaji

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Yudas Ndungile akiongoza Mkutano wa wadau wa afya kujadili ujenzi wa kliniki ya tiba kwa waraibu wa dawa

Wakazi wa Ngorongoro wanajiandikisha “kwa hiari” kuhamia katika kijiji cha Msomera katika mkoa wa kaskazini wa Tangania. Mikopo: Kizito Makoye/IPS Maoni na Kizito Makoye (Dar

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Bilioni 1.7 zimetolewa kwa ajili ya kusaidia matibabu ya ugonjwa wa seli mundu kwa wagonjwa wanaojitokeza kupata matibabu mbalimbali katika

Dar es Salaam. Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) imeidhinisha sindano ya lenacapavir kwa ajili ya kinga dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU),

Dar es Salaam, Tanzania – 19 Juni 2025 Stanbic Bank Tanzania na Vodacom Tanzania leo wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) ya kihistoria ya miaka mitatu

Unguja. Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), imeshangazwa na baadhi ya taasisi za umma kuendelea kurudia makosa licha ya kuwepo kwa juhudi za kuyarekebisha. Akizungumza