Wajumbe CCM wageuka lulu majimboni

Dar es Salaam. Kama ambavyo ungetamani shuka nyakati za baridi na chandarua panapo mbu, ndivyo walivyo muhimu wajumbe katika kipindi hiki ambacho Chama cha Mapinduzi (CCM), kinafungua pazia la mchakato wa ndani wa kuwapitisha wagombea wa udiwani, ubunge na uwakilishi. Umuhimu wa wajumbe, unatokana na jukumu lao katika mchakato huo –kupiga kura za maoni zinazoamua…

Read More

Maeneo saba kushindaniwa tuzo za utalii

Dodoma. Serikali imetaja maeneo saba ya ubora yatashindaniwa katika Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa mwaka 2025 (World Travel Awards), zitakazofanyika Juni 28, 2025 jijini Dar es Salaam. Maeneo hayo ni eneo bora kwa utalii Afrika, bodi bora ya utali, kivutio bora cha utalii Afrika,  hifadhi bora zaidi Afrika,…

Read More

Hizi hapa njia kupambana na selimundu

Dar es Salaam. Utolewaji wa elimu, ugunduzi wa mapema, matibabu na utolewaji wa dawa kwa wakati ni miongoni mwa njia za kupambana na ugonjwa wa Selimundu zilizoainishwa na wataalamu wa afya. Ugonjwa wa selimundu ni tatizo la muda mrefu kwenye seli nyekundu za damu, ni hali anayozaliwa nayo mtu ikisababisha baadhi ya seli nyekundu za…

Read More

Kongamano la ‘ Green Finance ‘la CEOrt Roundtable lafanyika Dar

Na Mwandishi Wetu Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Makampuni Tanzania (CEOrt Roundtable) lililowakutanisha viongozi wakuu kutoka sekta ya fedha, sekta binafsi, na taasisi za maendeleo limefanyika jijini Dar es Salaam likiwa na kaulimbiu ya “Kuhamasisha Rasilimali kwa Mabadiliko ya Kijani,”. Kongamano hilo liliangazia mbinu bunifu na changamoto muhimu katika upanuzi wa fedha ( green finance)…

Read More

Serikali yajitosa huduma za teksi mtandao

Dar es Salaam. Ni rasmi Serikali imejitosa kwenye huduma za teksi mtandao, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia Shirika la Posta Tanzania kuingia mkataba na kampuni ya taksi mtandao kutoa huduma za usafirishaji wa abiria na vifurushi. Katika kuongeza wigo wa huduma hizo ushirikiano huo utawezesha kusafirishwa pia kwa mizigo kutoka maeneo mbalimbali nchini na kutoa…

Read More

Kuongezeka kwa mahitaji ya cobalt mafuta yanayoendelea shida ya kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Maswala ya Ulimwenguni

Watu waliohamishwa ndani (IDP) wanaoishi katika Kambi ya Roe katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mikopo: Picha ya UN/Es mondeer Debebe na Juliana White (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Juni 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 26 (IPS) – Mahitaji ya cobalt na madini mengine yanaongeza shida ya kibinadamu ya miongo…

Read More