Mshikemshike uchukuaji fomu CCM | Mwananchi

Dar es Salaam/Mikoani.  Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada wengi kuwania nafasi hizo. Miongoni mwa waliovutia macho ya wengi ni Ester Bulaya, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema,…

Read More