Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 29, 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • 29
Michezo

Yanga haiachi kitu, yabeba tena FA

June 29, 2025 Admin

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja

Read More
Habari

JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU

June 29, 2025 Admin

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo

Read More
Burudani

Wengine wachukua fomu ubunge CCM, wamo waliokuwa wabunge wa Chadema

June 29, 2025 Admin

Dar/Mikoani. Makada wa CCM wamezidi kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini wakiomba ridhaa ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

Read More
Habari

Subira Mgalu Ajitosa Kinyang’anyiro cha Ubunge Bagamoyo

June 29, 2025 Admin

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoani Pwani, Subira Khamis Mgalu, leo June 29,2025 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Bagamoyo mkoani

Read More
Habari

BAKARI KIMWANGA ACHUKUA FOMU KUTETEA UDIWANI KATA YA MAKURUMLA

June 29, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu KADA wa CCM na mwanahabari Bakari Kimwanga amechukua fomu ya kuwania udiwani katika ya Makurumla ,Magomen mkoani Dar es Salaam ambapo anatetea

Read More
Kimataifa

Mpango mpya wa kuondoa VVU kwa watoto ‘Beacon ya Tumaini’ – Maswala ya Ulimwenguni

June 29, 2025 Admin

“Nchi yetu haiwezi kuvumilia tena watoto kuzaliwa na kukua na VVU, wakati zana zipo kuzuia, kugundua na kutibu kwa ufanisi maambukizo haya,” Rais Félix Tshisekedi

Read More
Habari

Takwimu ya watalii wanaofika nchini yapaa

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema idadi ya watalii wa kimataifa wanaofika nchini imeongezeka kwa asilimia 132.1. Ongezeko hilo ni kutoka watalii 922,692

Read More
Habari

Aliyekosa fursa kuwania urais TLP aipata ADC, Hamad Rashid…

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha Alliance For Change, (ADC), kimemchagua Wilson Elias kuwa mpeperusha bendera kwa tiketi ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa

Read More
Habari

Wengi huoa, kuolewa nje ya machaguo yao

June 29, 2025 Admin

Zungumza na wanandoa kadhaa uwaulize ikiwa wenza wao walikuwa machaguo ya kwanza maishani au la. Jibu linaweza kukushangaza. Uzoefu unaonyesha watu wengi huingia katika uhusiano

Read More
Habari

Mwenza wako ana gubu, mpenda lawama?

June 29, 2025 Admin

Maisha ya uhusiano yanahitaji uvumilivu, uelewa na mawasiliano ya wazi ili yadumu.  Hata hivyo, kuna changamoto zinazojitokeza, mojawapo ikiwa ni kuwa na mwenza au mpenzi

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.