Yanga haiachi kitu, yabeba tena FA

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota hao wawili ndio waliotikisa nyavu za Singida Black Stars katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Yanga. Abuya alikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya…

Read More

JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe Bi.Josephine Mwanga,mapema leo Juni 29, 2025. Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo…

Read More

Takwimu ya watalii wanaofika nchini yapaa

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema idadi ya watalii wa kimataifa wanaofika nchini imeongezeka kwa asilimia 132.1. Ongezeko hilo ni kutoka watalii 922,692 mwaka 2021 hadi kufikia watalii milioni 2.41 mwaka 2025 huku idadi ya watalii wa ndani nao wakiongezeka kwa asilimia 307.9 kutoka watalii  watalii 788,933 mwaka 2021 hadi kufikia watalii milioni…

Read More

Wengi huoa, kuolewa nje ya machaguo yao

Zungumza na wanandoa kadhaa uwaulize ikiwa wenza wao walikuwa machaguo ya kwanza maishani au la. Jibu linaweza kukushangaza. Uzoefu unaonyesha watu wengi huingia katika uhusiano wa kindoa kwa vile hawana namna,  baadhi wakichelea umri kusonga au kwa presha za ndugu na jamaa. Hawa hujikuta wakiingia kwenye uhusiano na yeyote yule. …

Read More

Mwenza wako ana gubu, mpenda lawama?

Maisha ya uhusiano yanahitaji uvumilivu, uelewa na mawasiliano ya wazi ili yadumu.  Hata hivyo, kuna changamoto zinazojitokeza, mojawapo ikiwa ni kuwa na mwenza au mpenzi anayelalamika sana na mwenye gubu. Kila unalomfanyia haoni dhamira ndani yake. Ni mtu wa madai na lawama zisizo na ukomo. …

Read More