DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja
Day: June 29, 2025

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo

Dar/Mikoani. Makada wa CCM wamezidi kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini wakiomba ridhaa ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoani Pwani, Subira Khamis Mgalu, leo June 29,2025 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Bagamoyo mkoani

Na Mwandishi Wetu KADA wa CCM na mwanahabari Bakari Kimwanga amechukua fomu ya kuwania udiwani katika ya Makurumla ,Magomen mkoani Dar es Salaam ambapo anatetea

“Nchi yetu haiwezi kuvumilia tena watoto kuzaliwa na kukua na VVU, wakati zana zipo kuzuia, kugundua na kutibu kwa ufanisi maambukizo haya,” Rais Félix Tshisekedi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema idadi ya watalii wa kimataifa wanaofika nchini imeongezeka kwa asilimia 132.1. Ongezeko hilo ni kutoka watalii 922,692

Dar es Salaam. Chama cha Alliance For Change, (ADC), kimemchagua Wilson Elias kuwa mpeperusha bendera kwa tiketi ya chama hicho kwa nafasi ya urais wa

Zungumza na wanandoa kadhaa uwaulize ikiwa wenza wao walikuwa machaguo ya kwanza maishani au la. Jibu linaweza kukushangaza. Uzoefu unaonyesha watu wengi huingia katika uhusiano

Maisha ya uhusiano yanahitaji uvumilivu, uelewa na mawasiliano ya wazi ili yadumu. Hata hivyo, kuna changamoto zinazojitokeza, mojawapo ikiwa ni kuwa na mwenza au mpenzi