HabariMJUMBE MKUTANO MKUU TAIFA SANGO GUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA RORYA Admin2 months ago01 mins 24 Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa, Sango Gungu amechukua fomu kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubungo Jimbo la Rorya mkoani Mara leo, Juni 30, 2025. Amekabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wikaya ya Rorya, Hassan Ntalika Post navigation Previous: JICHO LANGU MAHAKAMANI: Mauaji ya muuza madini Mtwara-1Next: Kutoka mauaji, mipango hadi askari kunyongwa-1