Habari MJUMBE MKUTANO MKUU TAIFA SANGO GUNGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA RORYA June 30, 2025 Admin 15 Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa, Sango Gungu amechukua fomu kuomba kuteuliwa na CCM kuwania Ubungo Jimbo la Rorya mkoani Mara leo, Juni 30, 2025. Amekabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wikaya ya Rorya, Hassan Ntalika Related Posts Habari Miriam Odemba Awaalika Watanzania Kuchangia Ujenzi wa Vyoo kwa Ajili ya Wanafunzi July 8, 2025 Admin Habari VETA Imefanya Mageuzi ya Mafunzo ya Ufundi Stadi Yanayoendana na Mazingira-CPA Kasore July 8, 2025 Admin