Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • TAARIFA KUHUSU MPINA KUTOKUKIDHI KANUNI ZA ACT WAZALEND

    10 minutes ago
  • OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAAANDAA KONGAMANO LA UCHUMI WA BULU

    27 minutes ago
  • Wadau wakutana kitathmini lishe | Mwananchi

    32 minutes ago
  • WADAU WA UANDAAJI NA USIMAMIZI WA BAJETI KUBORESHA UTENDAJI

    41 minutes ago
  • TCCIA kuwakutanisha washiriki 600 maonesho ya biashara Mwanza

    43 minutes ago
  • ‎‎Aliyedaiwa kumuua mumewe afariki dunia baada ya kunywa sumu

    46 minutes ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin2 months ago01 mins
28

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

TAARIFA KUHUSU MPINA KUTOKUKIDHI KANUNI ZA ACT WAZALEND

Admin10 minutes ago 0

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAAANDAA KONGAMANO LA UCHUMI WA BULU

Admin27 minutes ago 0

Wadau wakutana kitathmini lishe | Mwananchi

Admin32 minutes ago 0

WADAU WA UANDAAJI NA USIMAMIZI WA BAJETI KUBORESHA UTENDAJI

Admin41 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo