Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Jamii za Asili ndio mstari wa mbele wa hatua za hali ya hewa – ni wakati wa kusikiliza – maswala ya ulimwengu

    16 minutes ago
  • Watoto walio hatarini kama vitanzi vya msimu wa baridi huku kukiwa na mgomo mpya nchini Ukraine – maswala ya ulimwengu

    3 hours ago
  • MHE. CHUMI AWAHAHAKISHIA WAANGALIZI UCHAGUZI HURU

    4 hours ago
  • Mtibwa ina siku 28 tu za kujitetea isishuke daraja

    4 hours ago
  • Mtibwa ina siku 28 tu za kujitetea isishuke daraja, uongozi wafichua jambo

    4 hours ago
  • Siku ya uamuzi kwa Watanzania

    5 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin4 months ago01 mins
36

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

MHE. CHUMI AWAHAHAKISHIA WAANGALIZI UCHAGUZI HURU

Admin4 hours ago 0

Siku ya uamuzi kwa Watanzania

Admin5 hours ago 0

Afrika yaunganisha nguvu kukomesha udumavu

Admin6 hours ago 0

Maswa yakopesha Sh124 milioni kwa ajili ya kilimo

Admin6 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo