Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO

    59 minutes ago
  • Venezuela inahitaji data zaidi ya ndani kuelewa athari za mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

    1 hour ago
  • DKT. MWAMBA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA.

    2 hours ago
  • MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

    2 hours ago
  • JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

    3 hours ago
  • DAVID KIHENZILE AIPONGEZA LATRA KWA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA USAFIRI, AKITEMBELEA BANDARANI YA MAMLAKA HIYO

    4 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin6 months ago01 mins
42

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO

Admin59 minutes ago 0

DKT. MWAMBA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA.

Admin2 hours ago 0

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

Admin2 hours ago 0

JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

Admin3 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo