Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video

    14 minutes ago
  • Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

    24 minutes ago
  • UDP CHAPINGA VIKALI KUVUNJWA MABARAZA YA ARDHI⁹

    28 minutes ago
  • Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani

    34 minutes ago
  • RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa

    38 minutes ago
  • TFS yateketeza shamba la bangi hifadhini

    46 minutes ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI
  • Habari

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU UBUNGE ITWANGI

Admin7 months ago01 mins
50

 

Mtanzania anayeishi Uingereza, Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa.

Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia ya Chief Kaswende Shikira anakuja kuwania nafasi hii akiwa na kumbukumbu ya heshima na urithi wa familia yake, kwani ni mjukuu wa marehemu Chief Abdalla Fundikira, kiongozi mashuhuri na shujaa wa siasa, ambaye alijitolea kwa ustawi wa jamii na taifa.

Post navigation

Previous: Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate
Next: Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

Related News

Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

Admin24 minutes ago 0

UDP CHAPINGA VIKALI KUVUNJWA MABARAZA YA ARDHI⁹

Admin28 minutes ago 0

Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani

Admin34 minutes ago 0

RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa

Admin38 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo