Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.

    4 hours ago
  • Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini Yokohama

    4 hours ago
  • MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA

    5 hours ago
  • Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya

    5 hours ago
  • Wadau: Nishati safi iendane na ubora vifaa vinavyotumika

    5 hours ago
  • TAARIFA KUHUSU MPINA KUTOKUKIDHI KANUNI ZA ACT WAZALEND

    6 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030
  • Habari

RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Admin2 months ago01 mins
26

 

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. 

 Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa  kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.

Post navigation

Previous: Wanaodaiwa kuendesha biashara ya upatu waendelea kusota rumande
Next: Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

Related News

SERIKALI KUGHARAMIA MAZISHI YA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MGODI NYANDOLWA.

Admin4 hours ago 0

Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini Yokohama

Admin4 hours ago 0

MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA

Admin5 hours ago 0

Wadau: Nishati safi iendane na ubora vifaa vinavyotumika

Admin5 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo