Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video

    14 minutes ago
  • Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

    24 minutes ago
  • UDP CHAPINGA VIKALI KUVUNJWA MABARAZA YA ARDHI⁹

    28 minutes ago
  • Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani

    34 minutes ago
  • RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa

    38 minutes ago
  • TFS yateketeza shamba la bangi hifadhini

    46 minutes ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030
  • Habari

RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Admin7 months ago01 mins
51

 

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. 

 Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa  kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.

Post navigation

Previous: Wanaodaiwa kuendesha biashara ya upatu waendelea kusota rumande
Next: Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

Related News

Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure

Admin24 minutes ago 0

UDP CHAPINGA VIKALI KUVUNJWA MABARAZA YA ARDHI⁹

Admin28 minutes ago 0

Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani

Admin34 minutes ago 0

RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa

Admin38 minutes ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo