Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO

    55 minutes ago
  • Venezuela inahitaji data zaidi ya ndani kuelewa athari za mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

    1 hour ago
  • DKT. MWAMBA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA.

    2 hours ago
  • MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

    2 hours ago
  • JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

    3 hours ago
  • DAVID KIHENZILE AIPONGEZA LATRA KWA MATUMIZI YA TEHAMA KATIKA USAFIRI, AKITEMBELEA BANDARANI YA MAMLAKA HIYO

    3 hours ago
  • Home
  • 2025
  • June
  • 30
  • RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030
  • Habari

RUHORO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA NGARA 2025-2030

Admin6 months ago01 mins
42

 

Mbunge wa jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro amechukua fomu ya maombi ya kugombea tena nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine cha 2025/30 kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo ameichukua leo Juni 30 2025 katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi CCM Ngara Mkoani Kagera. 

 Hata hivyo vyombo vya habari vilivyokuwepo katika eneo la tukio walipotaka mahojiano hakuwa tayari kuzungumzia chochote zaidi alisema wakati ukifika atazungumza.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Ruhoro ni miongoni mwa viongozi wenye ushawishi mkubwa  kwa wananchi wa jimbo lake kwani wananchi hao wamekuwa wakimchangia fedha kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea tena katika kipindi kingine 2025-2030.

Post navigation

Previous: Wanaodaiwa kuendesha biashara ya upatu waendelea kusota rumande
Next: Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

Related News

JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO

Admin55 minutes ago 0

DKT. MWAMBA ATEMBELEA JENGO JIPYA LA OFISI ZA WIZARA YA FEDHA.

Admin2 hours ago 0

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI SONGEA MKOA NI RUVUMA

Admin2 hours ago 0

JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE

Admin3 hours ago 0

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo