Nasser amtisha mtetezi Mbio za Rwanda

MTANZANIA Yassin Nasser  ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma hii itaamuliwa katika raundi ya tatu ya mbio za magari ubingwa wa Afrika nchini Rwanda mwishoni mwa juma hili. Rwanda Mountain Gorilla  ndiyo jina rasmi la raundi hii ambayo Mtanzania…

Read More

Simbu ajitosa kuibua vipaji. | Mwanaspoti

MWANARIADHA wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amejitosa kuibua vipaji vya michezo lengo ikiwa ni kuwa daraja la vijana kutimiza ndoto zao kama ilivyo kwake. Simbu ana kumbukumbu nzuri ya kumaliza katika nafasi ya pili mwaka huu 2025 kwenye mbio za Boston Marathon za Marekani akitumia muda wa 2:05:04. Hiyo ilimfanya kuwa Mtanzania wa nne…

Read More

Kipre akunjua moyo kwa Fei Toto

WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake, akimtaja Feisal Salum. Kipre aliyeitumikia Azam kwa misimu miwili na kuweka rekodi ya kufunga mabao 12, aliondoka na kutimkia MC Alger ya Al geria msimu huu ambako ndiko anakipiga kwa…

Read More

Tanzania Prisons, Fountain Gate mwisho wa ubishi

KITENDAWILI cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons na Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa 10:00 jioni, wakati miamba hiyo itakapochuana kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Mechi hiyo ni ya marudiano ya play-offs, ili kusaka nafasi ya kubakia baada ya ile ya kwanza iliyopigwa…

Read More

Masaka kuikosa WAFCON Morocco | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Brighton ya England na timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Aisha Masaka hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza mashindano ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) wikiendi hii huko Morocco. Katika mashindano hayo ambayo yataanza Julai 5-26, Twiga Stars imepangwa Kundi C ikiwa pamoja na vigogo, Mali, Ghana…

Read More

Ubingwa wa Yanga… | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho, ikiwa ni siku chache tu tangu itoke kubeba taji la Ligi Kuu lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na watani wao, Simba. Ndio, Yanga ilitwaa ubingwa huo wa Ligi…

Read More

Mpanzu anahesabu siku tu | Mwanaspoti

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua ambayo huenda wasingependa kuisikia kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ellie Mpanzu. Mpanzu ambaye ameibuka kuwa kipenzi cha…

Read More

Yanga haiachi kitu, yabeba tena FA

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota hao wawili ndio waliotikisa nyavu za Singida Black Stars katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Yanga. Abuya alikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya…

Read More

JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe Bi.Josephine Mwanga,mapema leo Juni 29, 2025. Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo…

Read More