Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 10
Michezo

Nasser amtisha mtetezi Mbio za Rwanda

June 30, 2025 Admin

MTANZANIA Yassin Nasser  ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma

Read More
Michezo

Simbu ajitosa kuibua vipaji. | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

MWANARIADHA wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amejitosa kuibua vipaji vya michezo lengo ikiwa ni kuwa daraja la vijana kutimiza ndoto zao kama ilivyo kwake.

Read More
Michezo

Kipre akunjua moyo kwa Fei Toto

June 30, 2025 Admin

WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake,

Read More
Michezo

Tanzania Prisons, Fountain Gate mwisho wa ubishi

June 30, 2025 Admin

KITENDAWILI cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons na Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa

Read More
Michezo

Masaka kuikosa WAFCON Morocco | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Brighton ya England na timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Aisha Masaka hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza mashindano ya

Read More
Michezo

Ubingwa wa Yanga… | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya

Read More
Michezo

Mpanzu anahesabu siku tu | Mwanaspoti

June 30, 2025 Admin

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua

Read More
Michezo

Yanga haiachi kitu, yabeba tena FA

June 29, 2025 Admin

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja

Read More
Habari

JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU

June 29, 2025 Admin

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo

Read More
Burudani

Wengine wachukua fomu ubunge CCM, wamo waliokuwa wabunge wa Chadema

June 29, 2025 Admin

Dar/Mikoani. Makada wa CCM wamezidi kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini wakiomba ridhaa ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.