MTANZANIA Yassin Nasser ambaye yuko mbele ya bingwa mtetezi Karan Patel wa Kenya kwa pointi 28, anaanza kuliona taji la ubingwa wa Afrika, na azma
Month: June 2025

MWANARIADHA wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amejitosa kuibua vipaji vya michezo lengo ikiwa ni kuwa daraja la vijana kutimiza ndoto zao kama ilivyo kwake.

WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake,

KITENDAWILI cha kujua ni timu gani kati ya maafande wa Tanzania Prisons na Fountain Gate cha kubakia Ligi Kuu Bara msimu ujao, kitateguliwa leo saa

MSHAMBULIAJI wa Brighton ya England na timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars, Aisha Masaka hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachocheza mashindano ya

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo

Dar/Mikoani. Makada wa CCM wamezidi kujitokeza kuchukua fomu katika majimbo mbalimbali nchini wakiomba ridhaa ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba