SIMBACHAWENE AIPA TANO TUME YA MADINI
-Ampongeza Waziri Mavunde kwa Kupandisha Maduhuli ya Serikali na Kutoa Ajira kwa Vijana 📍DODOMA, Juni 17, 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa George Simbachawene ameipongeza Tume ya Madini kwa kazi kubwa na yenye matokeo chanya katika ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali na kuchochea maendeleo ya…