Aliyetaka kuwania Urais kupitia TLP atimkia ADC

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Wilson Elias, baada ya kutaka kukatishwa ndoto yake ya kuwania Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu kwa tiketi ya Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), hatimaye ameibukia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kusaka nafasi hiyo. Mei 26, 2025 Wilson alijikuta nje ya mashindano baada kushika…

Read More

Ajirusha bahari kutoka kwenye boti, aokolewa

Unguja. Mohamed Shaib Saleh, mkazi wa Pemba, ameokolewa salama baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye boti ya Zanzibar 3 iliyokuwa safarini kutoka Pemba kuelekea Unguja. Tukio hilo limetokea leo Juni 17, 2025 saa 2:15 asubuhi, baada ya boti kuvuka eneo maarufu la mkondo wa Nungwi. Baada ya kujirusha, boti iligeuka kurudi eneo alilojirusha. Mohamed akarushiwa…

Read More

Israel italazimika kufanya haya, kulipua  Fordow 

Tel Aviv, Israel. Alon Pinkas, aliyewahi kuwa mwanadiplomasia wa Israel na kwa sasa ni mchambuzi wa masuala ya kidiplomasia, anaeleza kuwa dhamira ya Israel ya kuondoa tishio la Iran haitafanikiwa bila usaidizi wa Marekani. “Iwapo Israel itafanikiwa, basi mafanikio hayo yatatokana na Marekani; kama hilo litatimia au la, bado hatujui. Rais Trump anazungumza mambo yanayokinzana…

Read More

Kuweka silaha kunazidisha njaa – maswala ya ulimwengu

Maoni Na Jomo Kwame Sundaram, Nadia Malyanah Azman (Kuala Lumpur, Malaysia) Jumanne, Juni 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KUALA LUMPUR, Malaysia, Jun 17 (IPS) – Vita, mshtuko wa kiuchumi, inapokanzwa sayari na kupunguzwa kwa misaada kumezidisha shida za chakula katika miaka ya hivi karibuni, na karibu watu milioni 300 sasa wanatishiwa na njaa….

Read More

Wasira awang’ata sikio wakazi wa Geita kuhusu ardhi

Geita. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira ametoa rai kwa wananchi wa Mkoa wa Geita, kuitumia ardhi yao yenye madini kujinufaisha huku akiwataka kutothubutu kuiuza kwa wanaokuja kama wawekezaji, bali waingie nao ubia. Wasira ameyasema hayo leo Juni 17, 2025, wilayani Geita, alipozungumza na wananchi na wanachama wa chama hicho kwenye…

Read More

Chadema wamkataa Jaji Mwanga, wadai hawana imani naye

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ajitoe kwenye kesi inayohusiana na chama hicho, wakidai hawana imani naye. Kimesema sababu za kumkataa Jaji Mwanga ni kuendesha shauri hilo, upande mmoja baada ya wakili wa Chadema, Jebra Kambole kujitoa, ilitakiwa mahakama hiyo…

Read More