Tume kukusanya data bidhaa za madini zinazoingizwa nchini

Mwanza. Tume ya Madini inaendelea na mchakato wa ukusanyaji wa takwimu kuhusu bidhaa zote zinazoagizwa na migodi kutoka nje ya nchi. Akizindua Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini, lililofanyika jijini Mwanza leo Juni 17, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema lengo ni kubaini bidhaa zinazohitajika zaidi migodini…

Read More

Sh26 milioni kunusuru nyumba 114 Mto Morogoro

Morogoro. Bodi ya Bonde la Wami-Ruvu imetangaza mpango wa kufukua kipande cha kilomita 1.7 cha Mto Morogoro na kuupeleka kwenye njia yake ya asili, ili kukabiliana na athari za mafuriko zinazoendelea kuathiri wakazi wa Mtaa wa Mambi, Kata ya Mafisa. Kwa zaidi ya miaka 10, wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakikumbwa na mafuriko, tatizo lililoanza…

Read More

CBE kuendesha kongamano la kuimarisha fursa za ajira

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeandaa kongamano la kuimarisha fursa za ajira na maendeleo endelevu linalolenga kuwawezesha vijana kujiajiri. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es salaam na Mkuu wa chuo hicho, Prof Edda Lwoga, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano hilo litakalofanyika Alhamisi chuoni hapo. Alisema mgeni rasmi katika…

Read More

Tanzania yaendeleza vichapo CECAFA | Mwanaspoti

TWIGA Stars ambayo ni timu taifa ya Tanzania upande wa soka la wanawake, imeendelea kutoa vichapo kwenye michuano ya CECAFA Senior Women Championship baada ya kuitandika Burundi mabao 6-0. Mechi hiyo iliyopigwa jioni ya leo Juni 17z, 2025 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, ilikuwa ya pili kwa Twiga Stars kwenye mashindano hayo…

Read More

Kiwanda cha GF vehicles Assemblers (GFA) Chasherehekea kutimiza magari 4000 kutengeneza

 Kiwanda kikubwa na cha kwanza kutengeneza na kuunganisha Magari nchini Tanzania GF vehicles Assemblers (GFA) kilichopo Kibaha mkoani Pwani leo kimetimiza utengenezaji wa Gari ya miamoja (4000) toka kuanza uzalishaji rasmi wa kiwanda hicho 2020. Akizungumza wakati wa sherehe za kuruhusu gari ya 4000 kukanyaga aridhini baada ya kuunganishwa tayari kwa kutembea ,Meneja mkuu wa…

Read More

TET Yakusanya Bilioni 2.6 Katika Kampeni ya “Kitabu Kimoja, Mwanafunzi Mmoja

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imefanikiwa kukusanya zaidi ya Shilingi bilioni 2.6 kati ya Shilingi bilioni 4.3 zilizoahidiwa na wadau mbalimbali kupitia kampeni ya Kitabu Kimoja, Mwanafunzi Mmoja. Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 50 ya TET yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Dkt. Aneth Komba alisema kampeni hiyo inalenga kuboresha hali…

Read More