Rekodi za Mapato, Gawio la Wanahisa NMB vyatikisa Kongamano la Uwekezaji Z’bar

NA MWANDISHI WETU, PEMBA  BENKI ya NMB imewahakikishia wawekezaji wadogo, wa kati na wakubwa walioshiriki Kongamano la Uwekezaji Zanzibar lililoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), kuwa iko imara kifedha kuwawezesha kushiriki Mapinduzi ya Kiuchumi visiwani humo na Tanzania kwa ujumla. Uthibitisho wa uimara wa NMB ni kuingia kwa benki hiyo katika Klabu ya Kampuni…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kufanyiwa maboresho

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Tabia Maulid Mwita, amesema wizara hiyo inashirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kuiboresha Ligi Kuu ya ZPL kwa lengo la kupata wadhamini wengi na wa uhakika. Amesema, ili kupata udhamini wa uhakika na kukua kwa klabu za Zanzibar, wanahitaji kuwa na Ligi Kuu bora…

Read More

Wanne wauawa kwa kupigwa mawe, kuchomwa moto

Kahama. Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni vibaka wameuawa kwa kupigwa mawe na kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira   katika Mtaa wa Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga alfajiri ya kuamkia leo Juni 17, 2025. Kijana aliyejeruhiwa kwa kukatwa panga eneo la kichwani na wanaodaiwa kuwa ni vibaka saa tano usiku wa kuamkia leo, Stephano…

Read More

Tanzania, Zambia kuimarisha ushirikiano wa masoko ya mitaji

Dar es Salaam. Nchi za Tanzania na Zambia zimeafikiana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya masoko ya mitaji, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendeleza ujumuishaji wa kiuchumi katika kanda na kuchochea maendeleo endelevu ya kijamii. Ushirikiano huo unalenga kuongeza uwekezaji, kuboresha mifumo ya udhibiti, pamoja na kuimarisha utaratibu wa usuluhishi wa migogoro kupitia mabaraza ya…

Read More