Kifimbo cha Mfalme kutua nchini siku nne

KIFIMBO cha Mfalme kuashiria kuanza kwa msimu mpya wa michezo ya Jumuiya ya Madola, kitakimbizwa hapa nchini kwa siku nne kuanzia Agosti 2 hadi 6, 2025. Mbali na kukimbizwa, pia kifimbo hicho ambacho zamani kilifahamika kwa jina la kifimbo cha Malkia, kitachorwa vivutio vya Tanzania na kutangazwa kwenye michezo ijayo ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland….

Read More

Buswita haoni pa kutokea Ligi Kuu

KIUNGO wa Namungo FC, Pius Buswita amesema katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizobaki, haoni kama anaweza kuvunja rekodi yake ya mabao saba aliyofunga msimu uliyopita. Hadi sasa Buswita amefunga mabao matatu huku Namungo ikibakiwa na michezo miwili itakayocheza nyumbani dhidi ya Kagera Sugar (Juni 18, 2025) na KenGold (Juni 22, 2025) kwenye Uwanja…

Read More

TWIGA – BARRICK YAPONGEZWA KUNUFAISHA WATANZANIA KUPITIA SERA YA MAUDHUI YA NDANI (LOCAL CONTENT)

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akipata maelezo jinsi ya utekelezaji wa ushirikishwaji wa watanzania kwenye sekta ya madini, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Ugavi , Barrick North Mara , Enock Otieno (mwenye miwani) kwenye Jukwaa la nne la utekelezaji wa ushirikishwaji wa Watanzania kwenye sekta hiyo.Afisa Mawasiliano wa kampuni ya Barrick nchini, Neema…

Read More

Polisi yaeleza sababu kuzuia mkutano wa Heche, wanahabari

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, Jumanne Muliro ameeleza sababu za jeshi hilo kuzuia mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche na wanahabari. Mkutano huo ulipangwa kufanyika leo Jumanne Juni 17, 2025 saa tano asubuhi katika Hoteli ya Seashells Millennium, iliyopo Makumbusho jijini Dar es Salaam. Muliro amesema…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAWANOA WAHARIRI MNYORORO WA UGAVI

Farida Mangube, Morogoro Wizara ya Fedha imetoa wito kwa taasisi za umma kuhakikisha fedha za serikali zinasimamiwa ipasavyo ili ziweze kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi. Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa wizara hiyo katika warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo juu ya Mnyororo wa ugavi wahariri wa vyombo vya habari, Naibu Katibu…

Read More

DKT. SAMIA AFUNGUA KIWANDA MEATU

::::::: MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha Kuchakata Pamba cha Biosustain Tanzania Limited, kilichoko Kata ya Mwamishali, Wilaya ya Meatu, leo Jumanne tarehe 17 Juni 2025, akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu. 

Read More