Ajali yaua wanne wakienda kwenye mkutano, Samia atoa pole

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pole za rambirambi kwa familia vifo vya vijana wanne waliopoteza maisha wakielekea wilayani Meatu mkoani Simiyu kusikiliza mkutano wa mkuu huyo wa nchi. Ingawa Rais Samia hakuzungumza kwa undani kuhusu vifo hivyo, lakini amesema ajali hiyo imejeruhi watu kadhaa. Rais Samia ameeleza hayo Jumanne Juni 17, 2025 akihutubia wananchi wa…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa namna inavyotekeleza majukumu yake kwa weledi na mchango wake katika kukuza maendeleo ya sekta ya usafiri wa anga nchini. Waziri Simbachawene alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la TCAA katika…

Read More

Rais Samia amjibu Mpina, asema anarukaruka na kujitafutia umaarufu

Rais Samia Suluhu Hassan amejibu hoja za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, aliyesema jimbo lake linamdai, akisema kwamba mbunge huyo anaonekana kutumikia Taifa zaidi badala ya jimbo lake kwa kushindwa kuzungumzia masuala ya maendeleo ya jimbo hilo na badala yake anajitafutia umaarufu. “Ndugu zangu, maombi kama haya yamekwishawasilishwa bungeni na mawaziri wakatekeleze. Kuleta maombi haya…

Read More