Likizo za madaktari, wauguzi wote zafutwa Iran

Tehran, Iran. Wakati mapigano kati ya Iran na Israel yakizidi kushika kasi, taarifa kutoka Iran na Gaza zimezua hofu mpya kuhusu hali ya kibinadamu na usalama wa kikanda. Iran imeamua kuwaita kazini madaktari na wauguzi wote waliokuwa likizo, huku ikiendelea na mashambulizi dhidi ya maeneo ya kijeshi ya Israel. Wakati huohuo, Gaza imeshuhudia kile kinachoelezwa kuwa…

Read More

Afrika yapoteza Sh216.8 trilioni kwa ufisadi

Arusha. Licha ya juhudi za mapambano dhidi ya rushwa barani Afrika, nchi za Afrika zinakadiriwa  kupoteza kati ya Dola za Marekani 20 hadi 80 bilioni (Sh216.8 trilioni) mwaka kutokana na ufisadi. Kutokana na changamoto hizo nchi hizo huenda zikalazimika kukopa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB) kujaribu kutatua changamoto za…

Read More

Mabingwa wa Tanzania Chakula cha majini katika Mkutano wa Bahari ya UN huko Nice – Maswala ya Ulimwenguni

Wavuvi wakiteleza kwenye mtumbwi pwani ya Dar es salaam. Picha na Kizito Makoye na Kizito Makoye (Nzuri, Ufaransa) Jumanne, Juni 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Nice, Ufaransa, Jun 17 (IPS) – Pamoja na misimu sita ya mavuno iliyobaki ili kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs), uharaka wa kupata suluhisho za mabadiliko ya kumaliza…

Read More

G7 yaiunga mkono Israel, Iran yadhibitiwa

Washington, Marekani. Nchi wanachama wa Kundi la G7 zimetoa taarifa rasmi usiku wa kuamkia leo, zikiunga mkono haki ya Israel kujilinda, huku zikitaja Iran kuwa chanzo kikuu cha machafuko na misukosuko katika ukanda wa Mashariki ya Kati. Kwa mujibu wa Reuters, viongozi wa G7 wamehimiza kupunguzwa kwa mvutano kwa ujumla katika eneo hilo linalozidi kugubikwa…

Read More

Miloud agusia dabi, wakiikabili Prisons

WAKATI Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Amani Josiah akisema kwa muda waliofanya mazoezi vijana wake wameonyesha ari na morali kubwa hivyo kesho matarajio ni kuendeleza matokeo mazuri, yule wa Yanga, Miloud Hamdi amesema wako tayari na fiti kwa ajili ya mechi hiyo, lakini akigusia kidogo kuhusu Dabi ya Kariakoo. Tanzania Prisons inatarajiwa kuwa wenyeji wa…

Read More

Kiungo Prisons ataja sherehe kuikabili Yanga

Kiungo wa Tanzania Prisons, Kelvin Sabato amesema mchezo dhidi ya Yanga unaopigwa kesho ni kama sikukuu kwao, akieleza kuwa mechi hiyo siyo ya kutumia nguvu nyingi, bali akili pekee. Wakati Sabato akitoa kauli hiyo, kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema wako tayari kuchukua pointi tatu ambazo zitaendelea kuwaweka katika msitari wa kutetea ubingwa huku…

Read More

Polisi walivyozima mkutano wa Heche na wanahabari Dar

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, limezuia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliopangwa kufanyika ukumbi wa Milllenium Tower Kijitonyama jijini hapa. Mkutano huo ulipangwa kuhutubiwa leo Juni 17,2025  na Makamu Mwenyekiti wa Chadema ( Bara), John Heche  ambaye hadi saa 4:45 alikuwa hajafika hotelini hapo kwa ajili ya…

Read More

IGP Wambura apangua vigogo Polisi, RPC Kinondoni aguswa

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura amefanya uhamisho wa makamanda watatu akiwemo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi. Taarifa ya uhamisho huo imetolewa leo na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ikiwa ni siku 302 tangu Katabazi alipoteuliwa rasmi kukalia kiti hicho, Agosti 19 mwaka jana….

Read More

IGP amhamisha RPC Dodoma | Mwananchi

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura amefanya uhamisho wa makamanda watatu akiwemo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi. Taarifa ya uhamisho huo imetolewa leo na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ikiwa ni siku 302 tangu Katabazi alipoteuliwa rasmi kukalia kiti hicho, Agosti 19 mwaka jana….

Read More

Othman: ACT Wazalendo tulijishusha ili kuingia SUK lakini…

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud amesema chama hicho kilikubali kujishusha na kuingia kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (Suki) ili kujenga mshikamano na kuboresha maisha ya Wazanzibari. Amesema licha ya jitihada hizo zilizofanywa na ACT Wazalendo, ikiwemo kuzungumza na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi na Rais Samia…

Read More