Israel yashambulia zaidi Tehran, Trump aonya

Tehran. Israel inaonekana kupanua zaidi mashambulizi yake ya angani dhidi ya Tehran siku tano baada ya shambulio la ghafla dhidi ya majeshi na miundombinu ya nyuklia ya Iran, huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiandika ujumbe mzito akiwataka wakazi wa jiji hilo kuhama mara moja. “Iran haiwezi kumiliki silaha ya nyuklia,” Trump aliandika jana usiku…

Read More

NHC YAJIVUNIA MAFANIKIO LUKUKI MIAKA MITANO CHINI YA UONGOZI SERIKALI AWAMU YA SITA, MAPATO YAONGEZEKA KWA ASILIMIA 34

Na Said Mwishehe,Michuzi TV SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limepata mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kwamba chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, shirika hili limepanua wigo wake kupitia uwekezaji wa kimkakati katika sekta ya ardhi na majengo, usimamizi mzuri wa miradi, pamoja na ushirikiano mpya kati ya sekta ya…

Read More

Kauli ya Polisi sakata la Mchungaji aliyetekwa Arusha

Arusha. Ikiwa zimepita siku 33 tangu Mchungaji wa Kanisa la Huduma ya Kristo, Steven Jacob (35) ,kutekwa na watu wasiojulikana na baadaye kuokolewa na walinzi wa mashamba ya ngano mkoani Kilimanjaro, Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. Mchungaji huyo anayehudumu kwenye kanisa lililopo Mtaa wa FFU, Kata ya…

Read More

Tausi bingwa Daraja la Kwanza wanawake

NI rasmi kwamba Tausi FC maarufu kama Ukerewe Queens imekuwa bingwa wa Ligi Daraja la kwanza (WFDL) kwa wanawake baada ya kuichapa Bilo Queens kwa mabao 3-0 kwenye fainali iliyopigwa katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza. Mashindano hayo yalianza kupigwa Juni 8 hadi June 16, mwaka huu ambapo katika Uwanja wa Nyamagana yalishirikisha timu 16 zilizochuana…

Read More