Yanga yategwa dili la winga Mrundi

KIKOSI cha Yanga kimesafiri kwenda Mbeya kuwahi pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons, huku mabosi wa klabu hiyo wakikuna vichwa kutoka na mtego waliowekewa juu ya kumnasa winga machachari Mnyarwanda anayekipiga Al Hilal ya Sudan. Yanga inayoongoza msimamo wa Ligi ikiwa na pointi 73 baada ya kucheza mechi 28 ikiwa ni moja…

Read More

Hamza, Camara waikoleza Dabi Juni 25

MASHABIKI  wa soka nchini wameanza kuhesabu vidole kuhusiana na siku ya kupigwa Dabi ya Kariakoo iliyopangwa kuchezwa Juni 25 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam baada ya kuahirishwa mara mbili mfululizo Machi 8 na Juni 15. Hata hivyo, kwa upande wa Simba kupangwa kwa tarehe hiyo mpya, kumekuwa kama neema baada ya awali…

Read More

Mambo ya Kufanya Ikitokea Mpenzi Wako Kachepuka! – Global Publishers

Last updated Jun 17, 2025 MPENZI msomaji wangu, katika maisha ya kimapenzi hakuna kitu kinachouma kama kusalitiwa, tena kusalitiwa kunakouma zaidi ni pale unapobaini mpenzi wako kampa penzi mtu unayemjua halafu ukijilinganisha wewe na huyo aliyepewa unashindwa kuelewa kilichomshawishi mpenzi wako. Lakini licha ya kwamba usaliti si kitu kizuri, watu wamekuwa wakisalitiana, tena sana…

Read More

Straika Asec aingia anga za Simba

SIMBA inajiandaa kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya KenGold itakayopigwa kesho kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora, lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kupiga hesabu za kuboresha kikosi wakianza mazungumzo na straika wa Asec Mimosas. Simba iliyosaliwa na mechi tatu inazohitaji ushindi ili kutangaza ubingwa msimu huu baada ya…

Read More

UNHCR kulazimishwa kufanya kupunguzwa kwa kina, licha ya kuongezeka kwa mahitaji ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Hii itahusu kukata chini ya nusu ya nafasi zote za juu katika makao makuu ya shirika la Geneva na ofisi ya mkoa. Karibu machapisho ya wafanyikazi wa kudumu 3,500 yamekomeshwa, mamia ya nafasi za wafanyikazi wa muda zimekomeshwa, na ofisi zingine zimepungua au kufungwa ulimwenguni. Kulingana na ripoti hiyo, maamuzi ya wapi kupunguza gharama ziliongozwa…

Read More

SERIKALI IMESAINI MIKATABA YA KUNUNUA DHAHABU NAKUSAFISHWA

…………… Na Ester Maile Dodoma  Serikali imesaini mikataba minne kwa ajili ya ununuzi wa dhahabu ambapo asilimia 20 iliyochimbwa na kusafishwa hapa Tanzania  ambayo benki kuu ya Tanzania (BOT)itanunua ili kuhakikisha wanakuza uchumi wa nchi. Hayo yameelezwa na  waziri wa fedha Dkt Mwigulu Nchemba katika hafla hyo leo 16 june2025 jijini Dodoma ambapo umefanyika utiaji…

Read More

Hatua karibu na haki kwa mwandishi wa habari aliyeuawa Daphne Caruana Galizia – Maswala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wanaandamana na Mtaa wa Jamhuri ya Valletta kwenye maadhimisho ya kwanza ya mauaji ya Daphne. Mikopo: Miguela Xuereb/Daphne Caruana Galizia Foundation na Ed Holt (Bratislava) Jumatatu, Juni 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bratislava, Jun 16 (IPS) – “Hatukutaka kulipiza kisasi. Tunataka haki – haki kwa Daphne na hadithi zake.” Corne Vella, dada…

Read More

Benki ya NBC, Mbogo Ranches Zasaini Makubaliano ya Utoaji Mikopo ya Mbegu Bora ya Mifugo kwa Wafugaji.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Mbogo Ranches yanayotoa fursa kwa wafugaji nchini kuweza kunufaika kupitia upatikanaji wa mikopo rafiki kutoka benki hiyo kwa ajili ya ununuzi wa mbegu bora za kisasa za mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi na kondoo inayozalishwa na kampuni hiyo. Hatua hiyo inalenga kuwasaidia kwa…

Read More