Hii hapa misingi ya elimu iliyo bora

Arusha. Mara kadhaa wasomaji wengine wamenipigia simu na kuniuliza maswali kama: Nini maana ya elimu? Kuna tofauti gani kati ya maarifa, elimu na busara? Mwingine akauliza: ni vipi vianzo vya elimu? Haya pamoja na mengine kama hayo ni maswali mazuri. Inaonyesha kwamba wapo wasomaji wanaotafakari vizuri na walio na mawazo mazuri ambayo yananipa nafasi ya…

Read More

Safari ya Ikomba urais CWT, anavyoitazama elimu nchini

Dodoma. Binadamu anaishi Kwa malengo,ndoto na wakati mwingine matamanio ya kufanya jambo jema lenye mafanikio kwa ajili yake, familia au taifa. Kwenye malengo hayo, wako wanaoweka malengo ya muda mrefu,mfupi na muda wa kati lakini kwa ujumla ni kwamba yeyote anayeishi katika malengo hayo, atakuwa mtu mwenye kujituma na kufanya jambo kwa kiasi. Hata hivyo,…

Read More

Kutanuka kwa mito kunavyokwamisha usimamizi wa sheria -2

Dar/Arusha. Aprili 27, 2019 aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba alieleza ugumu wa kubomoa nyumba zilizojengwa ndani ya mita 60 kutoka kingo za mito, hususani maeneo ya mijini. Alisema si rahisi kuondoa nyumba hizo kwa kuwa awali zilijengwa nje ya eneo hilo, lakini mabadiliko ya tabianchi, hasa…

Read More

Mifugo kutumika kupata mikopo | Mwananchi

Simiyu. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wa Serikali kuanzisha mpango wa utambuzi na mifugo, pamoja na mambo mengine, unalenga kuwawezesha wafugaji kuitumia mifugo yao kama dhamana ya kupata mikopo katika taasisi za fedha. Sambamba na hilo, amesema mpango huo unaohusisha pia chanjo kwa ajili ya mifugo yote, unalenga kudhibiti wizi na kuongeza thamani ya…

Read More