Wabunge waichambua Bajeti ya Serikali, wang’aka elimu na utafiti

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kuwekeza katika utafiti, teknolojia na elimu kwani ndiyo njie pekee ya kuwakomboa wananchi kiuchumi. Pia, wameitaka kuweka adhabu kwa raia wa kigeni watakaokiuka masharti ya kanuni zilizowekwa katika shughuli za biashara, ikiwemo kuwafutia vibali vya kazi na viza wanapothibitika. Wabunge wamesema hayo leo Jumatatu, Juni 16, 2025 katika siku ya kwanza…

Read More

Miili ya wanandoa yakabidhiwa familia, utaratibu watolewa

Dar es Salaam. Familia ya wanandoa waliokutwa wameuawa chumbani kwao eneo la Tabata Bonyokwa Gk, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam wamekabidhiwa miili kwa ajili ya kuendelea na taratibu zingine za mazishi. Wanandoa hao, Antoni Ngaboli (46) na Anna Amiri (39) walikutwa wakiwa wamefariki dunia chumbani mwao usiku wa kuamkia Juni 12, 2025. Awali, Kamanda…

Read More

Sh216 bilioni kutumika chanjo, utambuzi wa mifugo kidijitali

Simiyu. Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Juni 16, 2025, amezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo na utambuzi wa mifugo, itakayotekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka huu hadi 2029. Uzinduzi huo umefanyika mkoani Simiyu, ambako Rais Samia ameongoza shughuli hiyo inayolenga kuboresha afya ya mifugo, kuongeza tija na kufanikisha upatikanaji wa masoko…

Read More

Dk Mwinyi: Pemba  kuwa kitovu cha uvumbuzi na biashara

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema dhamira ya Serikali ni kuibadilisha Pemba kutoka nchi ya ahadi kubwa hadi kuwa mwanga mahiri wa uvumbuzi, biashara na maendeleo jumuishi. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 16, 2025, wakati akifungua kongamano la uwekezaji Zanzibar lililofanyika kwa mara ya kwanza katika maeneo huru ya uwekezaji…

Read More

MFUMO MPYA WA RAMANI KUZUIA MAJANGA WAZINDULIWA MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge na Uratibu imezindua mfumo mpya wa kisasa wa ramani ya maeneo hatarishi, Tanzania Climate Vulnerability System (TVCVS), unaolenga kubaini mapema maeneo yanayokumbwa na majanga na kusaidia kupunguza athari kwa Wananchi na Taifa kwa ujumla. Akifungua mafunzo ya mfumo huo tarehe 16 Juni,…

Read More

Ishu ya Ibenge, Azam haitanii

MAPEMA bila ya kuchelewa, taarifa zinabainisha kwamba Azam FC imeanza mchakato wa kumpata mrithi wa Kocha Rachid Taoussi ambaye inaelezwa mwisho wa msimu huu anaondoka klabuni hapo. Katika kumsaka mrithi wake mapema, uongozi wa Azam FC, tayari umekutana na kocha Florent Ibenge jijini Dar es Salaam kwa ajili kufanya mazungumzo ya kuhitaji huduma yake ya…

Read More