WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA

Na John Mapepele -OR TAMISEMI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kusoma shule maalum za msingi na sekondari ambazo zimejengwa na Serikali. Mhe. Rais ametoa kauli hiyo leo, Juni 16, 2025 Mkoani Simiyu alipozindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa…

Read More

TFF na Bodi waitwa mahakamani Dar

KUNA kitu kinaendelea Mahakamani kikilihusu Shirikisho la Soka la Tanzania(TFF) na Bodi yake ya Wadhamini. Na wito wa kuitwa Mahakamani umetolewa leo Jumatatu, Juni 16,2025 na Jaji Butamo Phillip anayesikiliza shauri hilo Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam. Iko hivi; TFF, kupitia…

Read More

Mastaa Tabora United wana jambo lao

WAKATI kikosi cha Tabora United kikijiandaa na mechi ya keshokutwa Jumatano ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, wachezaji wa timu hiyo wanadaiwa kuweka mgomo baridi hadi pale ambapo watakapolipwa mishahara ya miezi miwili. Timu hiyo imebakisha mechi mbili za kuhitimisha msimu huu ikianza ugenini kesho dhidi ya Azam, huku kikosi hicho cha Nyuki…

Read More

Rungwe akatisha ziara na kulazwa KCMC, sababu zatajwa

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashimu Rungwe amelazwa hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC baada ya kupata changamoto za kiafya. Rungwe ambaye alikuwa katika ziara ya operesheni ya C4C mkoani Kilimanjaro, alipata changamoto hiyo ya afya Juni 14, 2025 na kuwahishwa katika Hospitali ya KCMC kwa ajili ya uchunguzi…

Read More

Yanga yapaa kwenda Mbeya, yawaacha wawili Dar

KIKOSI cha Yanga kimeondoka jioni hii kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Mbeya tayari kwa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons huku ikiwabakiza mjini wachezaji wawili tu miongoni mwa nyota wa kikosi hicho kinachonolewa na kocha Miloud Hamdi. Yanga itavaana na Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo keshokutwa Jumatano ikiwa ni…

Read More

Serikali kujenga shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa

Mwanza. Serikali inatarajia kujenga shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa, ambayo itajengwa mkoani Simiyu ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa kuzalisha wataalamu wa Tanzania kupitia elimu ya sayansi. Akizungumza leo, Jumatatu Juni 16, 2025, mara baada ya kuzindua Shule ya Wasichana ya Mkoa wa Simiyu, Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitabagua jinsia katika…

Read More