Nahodha amtaja Lowassa akikumbuka kipaumbele cha elimu

Dodoma. Jina la Edward Lowasa limetajwa bungeni kutokana na msimamo wake wa uwekezaji katika sekta ya elimu huku Tanzania ikitakiwa kusimamia jambo hilo. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Juni 16, 2025 na Mbunge wa kuteuliwa Shamsi Vuai Nahodha ambaye amesema bila kuwekeza katika elimu maendeleo ya nchi yatakuwa ndoto. Nahodha ametoa kauli hiyo wakati…

Read More

TRA WAAGIZWA KUFUATA SHERIA NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akijibu swali bungeni jijini Dodoma.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano, WF – Dodoma) ……………. Na Farida Ramadhani, WF – Dodoma Serikali imemwagiza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha kuwa watumishi wa Mamlaka hiyo wanafuata taratibu na sheria zilizowekwa. Agizo hilo limetolewa bungeni jijini Dodoma na…

Read More

Coastal Union waitana Tanga | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya ‘Coastal Union’ wanajiandaa kuzipokea timu za Fountain Gate na Tabora United katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara za kufungia msimu huu, lakini mabosi wa klabu hiyo wamewaita wanachama ili kujadili mipango kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026. Uongozi huo umeitisha mkutano mkuu maalumu utakaofanyika Julai 12 kujadili taarifa ya maendeleo…

Read More

DSTV Tanzania Kuwapa Wateja Nafasi ya “Kuonja Utamu wa Mitanange ya FIFA” kwa Kifurushi cha POA

Dar es Salaam, Juni 16, 2025 — Kampuni ya Multichoice Tanzania, kupitia huduma yake ya DStv, imethibitisha dhamira yake ya kuendelea kuwa karibu na wateja wake kwa kuzindua kampeni mpya inayojulikana kama “Onja Utamu wa Mitanange”, ikilenga kuwawezesha wateja kushuhudia michuano mikubwa ya FIFA kwa bei nafuu. Akizungumza mapema leo jijini Dar es Salaam, Mkuu…

Read More

Standard Chartered Bank Tanzania Hosts Annual Beach Clean-Up to Champion Sustainability and Celebrate World Environment Day

Dar es Salaam, 14 June 2025 — Standard Chartered Bank Tanzania, in partnership with Nipe Fagio, successfully conducted its annual employee volunteering beach clean-up on Saturday, 14 June 2025, at Rungwe Beach in Dar es Salaam. The event, which drew the participation of over 70 bank staff and their family members, was held in honour…

Read More

Tumia njia hii kupata mtoto wa kike, kiume

Dar es Salaam. Kila mzazi ana matamanio ya kumpata mtoto wa jinsi aipendayo awe wa kike au wa kime na wengi huhoji atafanyaje. Wataalamu wa afya wametaja mbinu za kisayansi za kupata mtoto wa kike au wa kiume, kwa kutumia kalenda ya hedhi ya mwanamke. Mtaalamu wa afya ya mama na mtoto kutoka kituo cha…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU

::::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Simiyu na kuwataka Watanzania kujenga utamaduni wa kulipa Kodi kwa hiari ili kuiwezesha Nchi kujitegemea kiuchumi. Rais Samia amesema kujitegemea kiuchumi kunaletwa na Wananchi kupitia Kodi wanazolipa na kuitaka…

Read More

AKIBA COMMERCIAL PLC YASHIRIKIANA NA TIA KUPANDA MITI 1,500 KATIKA KAMPENI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Na Mwandishi Wetu Akiba Commercial Plc imeonyesha dhamira yake endelevu ya kutunza mazingira kupitia zoezi la kupanda miti kwa ushirikiano na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika kampasi ya Kurasini, Dar es Salaam. Miti 1,500 imepandwa kama sehemu ya mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaolenga kukuza utunzaji wa mazingira na kuimarisha ustawi wa jamii….

Read More