Fountain Gate yagoma kushuka daraja Bara

MKURUGENZI wa Fountain Gate Academy, Japhet Makau, amesema mechi mbili zilizobaki zinaipa nafasi timu hiyo kutokushuka daraja kutoka Ligi Kuu. Aidha, Makau amesema timu yake ya vijana umri chini ya miaka 20 ilistahili kuwa bingwa, huku akitaja bao la ushindi la Azam FC lilikuwa ni la utata. Makau aliyasema hayo hayo mchana huu, baada ya…

Read More

Othman: Tunahitaji misingi mizuri ya kuongoza nchi 

Unguja. Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema heshima ya utambuzi wa haki za nchi na wananchi ni kuzalisha vyanzo vya nafasi za ajira na kutoa huduma stahiki kwao bila ubaguzi. Amesema ili kupatikana kwa heshima hiyo, chama chake kimeamua kusimamia msimamo wake wa kuinusuru Zanzibar na kuleta maisha ya nafuu kwa watu wake.   Hayo…

Read More

VIDEO: Lissu asimulia anayopitia gerezani, Hakimu asema…

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametumia zaidi ya dakika 40 kizimbani kusimulia madhira anayokutana nayo katika Gezera za Ukonga, jijini Dar es Salaam. Lissu anayekabiliwa na kesi mbili ya uhaini pamoja na ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni, zinasikilizwa na mahakimu wawili tofauti zote na zote zimeendelea…

Read More

Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini

Anadai mazungumzo yao yote yamekuwa yakifanyika kwa kutumia simu kupitia kioo kilichowekwa gerezani, pasipo uwezekano wa kubadilishana nyaraka au kuandika chochote, jambo analodai linakiuka haki zake za msingi. “Hakuna sehemu ya kukaa, hakuna meza, hakuna kiti. Tunazungumza tukiwa tumesimama na kwa njia ya simu, mbele ya maaskari na wengine. Hii sio faragha,” anadai Lissu. Lissu…

Read More

VIDEO: Lissu aomba ajitetee mwenyewe mahakamani, ataja sababu

Dar es Salaam. Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani. Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu anakabiliwa na kesi ya…

Read More

Wananchi kujengewa uwezo tamasha la Kizimkazi, sekta saba zalengwa

Unguja. Sekta saba ikiwemo uvuvi, sanaa, ufugaji, utalii na elimu zinatarajiwa kushiriki katika Tamasha la Kizimkazi ili kutoa mafunzo kwa kuwajengea uwezo wananchi katika utafutaji na matumizi ya rasilimali zinazopatikana katika sekta hizo. Imeelezwa kuwa mafunzo yanayotolewa katika tamasha hilo yamekuwa sababu mojawapo ya kuwasaidia wanajamii na kunufaika na tamasha hilo baada ya kumalizika. Hayo yameelezwa…

Read More